Wafahamu watu 20 Matajiri zaidi katika Soko la Hisa la Dar es Salaam

Naomba kuelimishwa, ni kwanini makampuni makubwa kama Azam na Mohammed enterprises hayapo Daresalaam stock exchange?

Je, kampuni kua listed DSE ni maamuzi binafsi ya mmiliki au ni takwa la kisheria?
 
Halafu anatokea likabila limoja linasema "hawa jamaa wa KLM ni wezi na wanapenda kujisifia".

Watu wamewekeza kwenye hisa mpaka LSE na NYSE huko, hisa zikapanda nauza, zikishuka nanunua.
Bora lilikufa tu. Shemeji zangu wachagga ni clean na ndiyo maana hata mafisadi waliofilisiwa na lile jitu na wahujumu Uchumi wachagga hawakuwepo. Ninashukuru kuoa kwenu na nimebalisha kabisa ule umaskini wa familia yetu. Salute shem zangu
 
Naomba kuelimishwa, ni kwanini makampuni makubwa kama Azam na Mohammed enterprises hayapo Daresalaam stock exchange?

Je, kampuni kua listed DSE ni maamuzi binafsi ya mmiliki au ni takwa la kisheria?
Unapouza share za kampuni yako kwa umma, hiyo kampuni siyo yako tena, hata kama unashare nyingi,, kwani kampuni yako inaweza kunyakuliwa kwa style ya hostile acquisition, na ukajikuta huna maamuzi juu ya kampuni yako mwenyewe,
So azam, mo,, sidhani kama watakubali kusajili Dar stock exchange
 
Unapouza share za kampuni yako kwa umma, hiyo kampuni siyo yako tena, hata kama unashare nyingi,, kwani kampuni yako inaweza kunyakuliwa kwa style ya hostile acquisition, na ukajikuta huna maamuzi juu ya kampuni yako mwenyewe,
So azam, mo,, sidhani kama watakubali kusajili Dar stock exchange
Hili nalielewa, vipi kuhusu kipengele cha mwisho cha swali langu?

Kua listed ni hiyari ya wamiliki au ni takwa la kisheria?
 
Halafu anatokea likabila limoja linasema "hawa jamaa wa KLM ni wezi na wanapenda kujisifia".

Watu wamewekeza kwenye hisa mpaka LSE na NYSE huko, hisa zikapanda nauza, zikishuka nanunua.
Jiulize sasa kama Tuna Ubaya wowote na Hapa ukija kwenye Siasa Ajira Wanatubana eti wezi utadhan kuna chao tushakula
 
Jiulize sasa kama Tuna Ubaya wowote na Hapa ukija kwenye Siasa Ajira Wanatubana eti wezi utadhan kuna chao tushakula
Wachaga sio wezi ni watumia fursa, hiyo issue ya wizi ni conspiracy tu wanafanyiwa Hawa jamaa na wavivu WA kuelezea mambo bila utafiti,yaan wanaona wachagga wamefanikiwa lkn hawataki kufanya utafiti kujua factor zipi zinabeba .
Halafu haya watu kitokana na kujiaminisha kuwa wizi ndio njia ya mafanikio wakipata nafasi wanakua wezi kweli kweli .
 
Kutangulia kupata elimu na kutoridhika na mafanikio madogo kunawafanya wachagga waendelee kuwa mbele katika masuala kama haya.

La msingi ni kujifunza kwa aliyekutangulia bila kujali kabila,dini wala sura. Laiti kama kila kabila lingekua kama walivyo hawa wachagga naamini maendeleo yangepatikana kwa kasi sana.

Huu uzi umenifikirisha mara 5.. na bado naendelea kufikiria.
 
Naomba kuelimishwa, ni kwanini makampuni makubwa kama Azam na Mohammed enterprises hayapo Daresalaam stock exchange?

Je, kampuni kua listed DSE ni maamuzi binafsi ya mmiliki au ni takwa la kisheria?
Kuorodheshwa ni takwa la mtu binafsi ukizingatia kuwa kuna masharti yao yanalenga zaidi kuweka wazi taarifa za kampuni Ili kuvutia wawekezaji wa nje na pia kuna sharti la kupunguzwa controlling interest ambalo wengi hawapendi.

Vile vile kuorodheshwa kwenye soko la hisa kunaendana sambamba na hitaji la kupata mitaji mipya kwa ajili ya kutanua shughuli zao, sasa unaweza kuta hilo siyo kipaumbele katika strategic plan za kampuni.
 
Back
Top Bottom