Hivi man u na Barcelona ni leoNdugai amesababisha Hata Watazamaji wa Tamthilia ya Sultan Na Fatma Gul Kuwa Wachambuzi wa Report ya CAG
Zamani Hii report tulikuwa tunasoma Wachache Sana Sasa hivi daaah Mpaka Jamaa zangu wa hovyo Hovyo tangu mchana wananirushia tu Clip Za Assad anavyopakaza badala ya kujali Mechi ya Man U Na Barca
Siku nyingine Ndugai kabla ya Kufanya jambo atazame impact, Leo Hii kukurupuka kwake kunachafua Chama Cha Taifa
Ndugai amewafanya Watanzania wengi kufuatilia kilichomo ndani ya ripoti ya CAG! Hongera NdugaiUkiwa Prof lazima Uwe Na akili ya Ziada Hata Kama hutaki kuzi tumia
Ile Kauli ya Assad kuwaambia Waandishi Kuwa Hata Kama hamtotoa hizi habari Basi tutasambaza wenyewe imewatoa Kwenye Reli maana wamejistukia Na hawajachuja kitu
Hiyo ni hela ya kubrashia viatu tu
usiongelee wajumbe kwa majina ongelea pesa iliyotafunwaa jamaangu
Angalau angerephrase heading na content ya habari.Habari hii ina lengo la kuwavictimize hao watu haina lengo la kueleza kiwango kilichotumika.So huwezi kujadili kiwango kwa aina hii ya chapisho.u
usiongelee wajumbe kwa majina ongelea pesa iliyotafunwaa jamaangu
ccm na russhwa ni sawa na mtu na skin tyit. mtu wa ccm kuzunguzia vita dhidi ya rushwa ni sawa na kuzungumzia usafi wa mazingira ukiwa tandale kwa tumbo au kwa bi nyauNdugai amesababisha Hata Watazamaji wa Tamthilia ya Sultan Na Fatma Gul Kuwa Wachambuzi wa Report ya CAG
Zamani Hii report tulikuwa tunasoma Wachache Sana Sasa hivi daaah Mpaka Jamaa zangu wa hovyo Hovyo tangu mchana wananirushia tu Clip Za Assad anavyopakaza badala ya kujali Mechi ya Man U Na Barca
Siku nyingine Ndugai kabla ya Kufanya jambo atazame impact, Leo Hii kukurupuka kwake kunachafua Chama Cha Taifa
Sema kweli, ukipata nafasi kama hiyo hutaitafuna kweli? Utaridhika na mshahara wako ambao hauwezi kumpeleka mtoto English medium school? Tuseme kweli! Kuwa mkweli!