Wafahamu wachawi na uchawi hapa

Kama haujawai kuwa mchawi kupokea maelezo yote kutoka Kwa mchawi sio valid maana shetani ni muongo. Kama majini yalimdanganya Yesu Kwa kusemahivy lipo Moja kumbe ni kikosi kizima. Yanawadanganya walokole wengi wanaoyapa maiki. Hata wachawi maelezo yao sio ya kuyaamini 100℅ unless umefuniliwa au wewe ulikuwa mchawi kbla
 
Ukristo wenyewe ni uchawi pia.wakristo wapo wengi wachawi na waislam wapo wachawi poa.Nembo kuu ya muabudu shetani ni msalaba.Wakristo ni tabaka la kiimani lenye wivu na husda kuu na imani zinginezo.
Ukristo sio uchawi ila wapo wakristo wengi wachawi mno
 
Ukristo wenyewe ni uchawi pia.wakristo wapo wengi wachawi na waislam wapo wachawi poa.Nembo kuu ya muabudu shetani ni msalaba.Wakristo ni tabaka la kiimani lenye wivu na husda kuu na imani zinginezo.
Wewe ni mshirikina
 
kwani majini kusilm nijambo baya? wehujui uliza majini wametahajwa zaid yamara 20kweny bible malaika wameelkza dawa zakupnga mappo tibiti6:1-8 na 8;1-3.mambo yaramli ymetajwa samwel1sura28aya ya3-20.yesu alielekrza kupnga majini mathayo8;28-34.namathayo17:14-21..majini pia walmwamin yesu soma marko3;11.pia walitii wanafunzi kwajina la yesu luka10:17.paulo pia alipeleka wanafunzi wakekwashetani wafundishwe wasimtukane mungu timotheo wakwnza1:18-20.hao majn niviumbe na tunaish ktk ulimwngu mmoja kwamujbu wavtbu vyte ndomna ktk biblia walaw17:1-7 MAJNI WALZNI NA WANAISRAEL SO WAO KUAMIN NIHAKI YAO NDOMANA KUNA MAJINI KILA DINI KILA KABILA NAHAYO YMESEMWA NABIBLE HATA KABLA MUHAMMAD HAJZALIWA IKIWA WACHAW WALIAMIN MFNO SIMON SOMA MITUME8:9-11.NAHATA MAPEPO WALITII VP KWNYE QURAN IONEKANE NDO AJBU NA MTAMBUE UISLAM NDODINI ILIPINGA VIKALI USHIRIKINA KULKO DN NYNGNE YYTE aya ya3 ktk sura yatano na aya yatisini ktk sura hiyohiyo mwmungu amesema wazi.quran haiusiki na uganga wala kupunga imesemwa wazi sura ya6 aya112.tujitahidini tusome tusifate mkumbo kmakuna mtu anahitaj ufafanuzi zaid anitfte mana naandka kifup sabbu nnamambo mngi yananizonga nakwakua kuna vitabu vingi nshaandika kuhusu haya mambo sioni sabbu yakujaza jukwaa mtuakitaka hoja avitafute then ataelewa vzuri
Mbona waganga wengi ni nyie waslam mkuu? Wapiga Bao nk.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sijasema kila dini inamajn nmesema wapomajini kila dini nahata kabila kuna watu huwa wnangoma zaasili zamajini ambao wanamakbila hao majini wangindo,wamasai nk nawakipndasha hiyo mijn yao huongea lugha hizo htakma wnyewe wahuska hawjui lugha hizo nahiinihapahapa tz nawakskia qur.an hulia nakuzba maskio hau hukimbia kbsa ktk miil yawahucka hayo nimajn yamakbila na ktk kmbukumbu yangu nshawahi kumsmea mtusimmja ambao huwawakipndisha mapepo wanahubri biblia tena wanaijuakimbele nakinyume nlipokuja kuwaulza waksema wametkea kwny koo za kkristo safinawana tka kiti awemtuwaknisa watampa upako nk.nashkuru ckuwah shindwa ktk vtahata ckumoja.kuna jamaa namfahamu hakusoma hatadarasa moja ilaniinginia wakutgemewa ktk wilayamoja hapa nchini hiv nnavyokwambia yupo german mana wanamtumia sana ktk kazi zao yy anajini wakijerumani na simwislamu yy wala huyo jini wake kwni humtokea usiku akmwmbia kilakazi inayotakiwa kufanyka hiyo nimifano yahapa bongo tu.Tukija nje mm nmekaa india nmeona nakusoma baadh ya elimu huko wao ndio mabingwa wauchawi duniani na wanatumia hayo majini ambayo iman zao znaendana,nmekaa bosnia nako vlevle,mwisho misri ndonlipohitmisha nakuanzia masomo yangu kuna orthodox na dn nyngine kibao zakishetani na hata ndugu hujasikia inamaana hata habari za freemasons au wale wachungaji wa kule nigeria?hii dunia inasiri nyngi ndugu.usipnde kubisha kilakitu uliza kwanza
Mkuu kuna kitu cha kujifunza toka kwako, ila nashindwa kukufuatilia sababu ya mwandiko wako. Tafadhali fanyia kazi hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukristo sio uchawi ila wapo wakristo wengi wachawi mno
Hapo ndipo ukweli ulipo ukristo ni uchawi Kama ulivyo uchawi mwingine wowote.Na ndio uchawi pekee unaothibitisha na kukiri umuhimu na uzito wa kafara ya damu ya binaadam
 
Hapo ndipo ukweli ulipo ukristo ni uchawi Kama ulivyo uchawi mwingine wowote.Na ndio uchawi pekee unaothibitisha na kukiri umuhimu na uzito wa kafara ya damu ya binaadam
Mkuu kama huelewi mambo utilie.
Ukristo sio uchawi na ndio njia pekee ya kuwasaidia wachawi. Hakuna imani nyingine duniani inayowrza kumsaidia mchawi kuacha uchawi
 
Mimi huwa najiuliza ni nini hasa faida wapatayo wachawi,wanga,washirikina sijui vigagula katika shughuli zao?? Maana utakuta wengi wanaoshukiwa kuwa wachawi na wanga kwa macho haya ya kawaida hawana maendeleo yoyote zaidizaidi ni masikini na wachafu wa kutupwa...huwa sielewi aisee faida ya kazi zao..
 
mwisho wa kuloga huwa ni saa 10 na nusu usiku ikizidi sana saa 11-------------------Kuna ibada ya salatul Lfajiri

Wachawi wote duniani wameipitisha siku ya ijumaa kutokufanya safari yoyote ile ya kichawi-----------Swalatl Jumaa

Katika kukwepa kwepa kwamba wachawi wanaogopa nguvu ya Dini ya Islam na vile wewe ni Kafir basi ukasingizia ulokole
 
mwisho wa kuloga huwa ni saa 10 na nusu usiku ikizidi sana saa 11-------------------Kuna ibada ya salatul Lfajiri

Wachawi wote duniani wameipitisha siku ya ijumaa kutokufanya safari yoyote ile ya kichawi-----------Swalatl Jumaa

Katika kukwepa kwepa kwamba wachawi wanaogopa nguvu ya Dini ya Islam na vile wewe ni Kafir basi ukasingizia ulokole
Sio kwamba ijumaa. mda ule wa kuswali ndo ua mda wa wachawi kufrahia lugha ya mkuu wao. Yule asiye jua kusoma wala kuandika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wale wapinga Kristo wa madhehebu Yale ya zamani watakuja kuupinga wokovu. Pia kuna wale wa ibilisi watakuja na kuanza kulinganisha wokovu na dini yao
Hapa Sijakuelewa, Wapinga Kristo wa Madhehebu yote ya Zamani, inamaana Kabla ya ulokole madhebu yote, yalikua yanakosea, na yanaendelea kukosea sio.

Wewe mlokole endelea na imani yako hata wewe, unaamini kupitia Bibilia ile ile, mlichobadili nyie mchapuo tu, Makanisa kuwa mali ya mtu binafsi.

Uhakika wa unachoamini ni imani tu, haya maneno nimeongoe na Mungu ni imani tu, kuongea Mungu si mchezo mchezo, mfano wewe mwenyewe,
Mtu mwenye maadili hutengeneza upendo badala ya chuki, na maneno ya kuudhi, Kwa kuponda imani zao, badala ya kuwasawishi kwa upendo waje kwenye imani yako Wasiiamini.

Ila kwa maandishi yako haya na baadhi ya vitendo vya wenzio mnakatisha tamaa, watu waliotaka kusawishika.View attachment VID-20190216-WA0030.mp4

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazi kweli kweli maana hata dhima ya somo imepotea kwa kuingiza udini mala walokole ndio wenye uwezo wa kudeal na wachawi wakati wakristo wengine hawawezi ,inachanganya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom