Wafahamu wachawi na uchawi hapa

Mpaka hapo unamanisha ukiristo ndio dini ya kweli na dini zote zilizobaki ni za uongo na hazina nguvu ya kuzuia wachawi!!! Teh teh teh! Wagatia mnashida sana then mnasahau hayo makanisa yenu ya kiroho pia hutumia uchawi, kinachotofautisha ni kuzidiana nguvu tu.

Cc stunna
 
Last edited by a moderator:
sijasema kila dini inamajn nmesema wapomajini kila dini nahata kabila kuna watu huwa wnangoma zaasili zamajini ambao wanamakbila hao majini wangindo,wamasai nk nawakipndasha hiyo mijn yao huongea lugha hizo htakma wnyewe wahuska hawjui lugha hizo nahiinihapahapa tz nawakskia qur.an hulia nakuzba maskio hau hukimbia kbsa ktk miil yawahucka hayo nimajn yamakbila na ktk kmbukumbu yangu nshawahi kumsmea mtusimmja ambao huwawakipndisha mapepo wanahubri biblia tena wanaijuakimbele nakinyume nlipokuja kuwaulza waksema wametkea kwny koo za kkristo safinawana tka kiti awemtuwaknisa watampa upako nk.nashkuru ckuwah shindwa ktk vtahata ckumoja.kuna jamaa namfahamu hakusoma hatadarasa moja ilaniinginia wakutgemewa ktk wilayamoja hapa nchini hiv nnavyokwambia yupo german mana wanamtumia sana ktk kazi zao yy anajini wakijerumani na simwislamu yy wala huyo jini wake kwni humtokea usiku akmwmbia kilakazi inayotakiwa kufanyka hiyo nimifano yahapa bongo tu.Tukija nje mm nmekaa india nmeona nakusoma baadh ya elimu huko wao ndio mabingwa wauchawi duniani na wanatumia hayo majini ambayo iman zao znaendana,nmekaa bosnia nako vlevle,mwisho misri ndonlipohitmisha nakuanzia masomo yangu kuna orthodox na dn nyngine kibao zakishetani na hata ndugu hujasikia inamaana hata habari za freemasons au wale wachungaji wa kule nigeria?hii dunia inasiri nyngi ndugu.usipnde kubisha kilakitu uliza kwanza

* Mkuu umesoma India na Egypt kama unavyodai....tulia, andika maelezo yako kama msomi....hujui umuhimu wa paragraph...then unaunganisha maneno..kuna umuhimu wa kuacha nafasi kati ya maneno....andika taratibu ili ueleweke na wengi sio kama mtoto wa darasa la kwanza....
 
Hilo si jina la kawaida, ni jina lililokirimiwa kupita majina yote, jina lenye mamlaka . Hata kuzimu wakiwa wanataka kumtaja hutumia neno kama The one kama code ya jina hilo, kinyume na hapo ni hatari gizani

Kweli kabisa. Ndio mana hata wazinzi wanalitajaga sana Jina hilo katika michezo yao.
 
Foxyizafa nadhani mleta mada kaandika kutokana na upeo wake ulipoishia kwenye hii mada ...sasa ww kama unauelewa mkubwa zaidi ilibidi uongezee au uandike jinsi ujuavyo ww kuliko kumkosoa mtu bila kuelezea ukweli wako ..inaonekana hii mada kama imekugusa umejibu kwa jazba sana

Mbona umepanic bro.....
 
jamani msizungumze mambo ambayo huna taaluma nayo kwakuhubiri ulkole umeweza ilauchawi ni zaid yahayo ulosema ndugu upo uchwi wa aina nyng sana na siwote wanakutana ijumaa kwmye vilnge na hakuna jini anaeitwa khairut na kama ulikua hujui wapo wachaw wanatumi hayo hayo makanisa kktania tena huku kwetu kwasiri lkn hukonjelive na humohutumia hyobible kfnikisha baadh ya shughli zao.mm nina elim yakutosha juu ya hayo mambo na nshafika nchinyngi za ulaya mashriki na afrikamaghrib na ucpnde kkrupuka humu jf hivyo vtu vnawajuz wake sio umekremsha story zakijjni kwnu unakuja kuletamada usioijua hapa

Mbona umepanic bro.....
 
nyinyi ndo mnajua dini kuliko hao wazamani walioiandika hiyo bible?nyie ni watu waajbu sana nshashuudia walokele wengi wakitaabishwa namaradh yakishrikina namaomb yao kdunda mwisho huangukia kwa waganga wakienyeji au waganga njaa wakiroho kna gwjima nawaupko nakikubwa kinachowasumbua niujuaji haliyakuwa hata hiyo bible ynyewe mm muislam hawanifikii jinsi nnavyoijua na sasa ndowanajikuta kwnye ukrsto hawapo upagni naohawajauingia hapo ndoshtani anapozd kufanikiwa na ile kauli ya mw.mungu inapotimia.SOMENI JAMANI SIO MNAKUA KMAMAGOMBE Mtapata tabu dunian na ukomwendako pia nafuu hakuna

Ww ndo uanze kusoma kwanza maana ata kuandika tu hujui....yan una panic tuuu
 
hujui kitu ndugu hao wachawi mnaosema mnapiga sana vta mnatumia kitabu gani na tucompare kt ya bible na quran wapi kunamafundisho yakuupinga uchwi nakupmbana nao ss tna aya kibaozinaeleza wazi uchawi madhara yke najinc yakujilnda vp useme cc htuliangalii hilo ntakupa chache tuimraan3:1-2,ikhlasw,nnas,falaq,al araf7:117-121,yunuss10:81-82,twaha20:69,tawba9:4 na ayanyingi zngne ilanynyi hamsom akili zenu mgndo mnaongea mnachohisi mada ya mambo haya narudia ww hunaujuzi nayo cos nimambo mtambuka ynagusa kilanyanja na inabd author awe nimjuzi ama msomi jaribu tu kuwapm wakina mshana jr,mzizi mkavu rankims na wngne watkupa muongzo cc wngne simabingwa wakupost ilatumebobea kwny ilmu hzo saweww ukijahapa nathread ya aina hiyo hlfu inamaudhui mengine cc hatuwz kukausha tutakuchana tu.hoja mbna wachawi hawaanguk micktn huo niutoto hakna asiejua aina yamaknisa yakiroho ufnyji waowaharkt swali jpes mbna hawaanguki kweny maknisa ya kiroma,anglikna na ruthlani inamana kule yesu hayupo hebu jfunze kuwa na heshma ya maoni ndugu

Hawaanguki romani,anglikan,rutheran coz hakuna nguvu ya yesu ila wanaanguka kwenye makanisa ya kipentecost t.a.g coz kuna nguvu ya yesu hapo kuna moto ulao watu wanaomba sana kwenye ayo makanisa tofauti na roman uko....
 
Hawaanguki romani,anglikan,rutheran coz hakuna nguvu ya yesu ila wanaanguka kwenye makanisa ya kipentecost t.a.g coz kuna nguvu ya yesu hapo kuna moto ulao watu wanaomba sana kwenye ayo makanisa tofauti na roman uko....

Waambie mkuu maana hawajui hao
 
Vipi kwa wenzetu waislam?au hayo majini na mashetani hayawahusu wao?na kama ndivyo unajifunza nini hapo?au Mungu ni wa walokole tu?au umeelezea upande unaoujua tu?kama ndivyo basi tukubaliane kuwa elimu yako haijakamilika! Huwezi kuzungumzia mti kwa kuainisha tawi moja pekee,nilitegemea utueleze majini na wachawi ni viumbe wa aina gani,wameumbwa na nani,kwa makusudi gani,nk,ila nilichokiona hapo ni promotion kwa walokole mwanzo mwisho,na kwa bahati mbaya zaidi ukweli usiohitaji scientifical proof ni kuwa jamii ya walokole ndiyo moja ya jamii zinazotaabika sana kwa ukosefu wa maarifa wakitanguliwa na jamii ya waaminio ushirikina,Mungu akubariki ili uweze kuzifanyia kazi changamoto hizi na next time uje ukiwa more smart.

We jamaa umemaliza kila kitu. Sijui nikupe zawadi gani?! Brilliant remarks from u!
 
ahaaaaaa

Topic: Wafahamu wachawi na uchawi hapa

Tyr nishawanasa, kuna wafuasi wa shetani nilishawajua,nyie wachawi hamwezi mkalizima jina la Yesu.
Huo ndiyo ukweli.

Topic imejitosheleza
 
Mungu akubaliki na kukinga na vita ya kiroho na mwili maana najua unafunua mambo yao mengi ya Giza. Endelea kutubariki.
 
God is spirit n who worship him must worship him in spirit n truth so do pentecostal people. Kiboko ya uchawi na wachawi
 
Kuna wale wapinga Kristo wa madhehebu Yale ya zamani watakuja kuupinga wokovu. Pia kuna wale wa ibilisi watakuja na kuanza kulinganisha wokovu na dini yao

Hongera Mkuu, wewe dhehebu lako la kisasa na la kidigitali.
 
So kwa mada yako ya wachawi unaonyesha wazi unataka tuwe malokole sio? Kwani ulokole ndio njia pekee ya kupambana na uchawi? Na maombi ya usiku wanafanya walokole tuu waislam awafanyi? Achana na izo mambo wewe mwenyewe mchawi tuu ulijuaje siri za uchawi ikiwa vitabu vyote vya mungu amna ata kitabu kimoja kinachosema kuwa njia inayopita mchawi akiwa anapaa ndio njia anayorudia au kuna kitabu gani cha mungu kinasema kuna wachawi wanaotembea na fagio kijiko au ungo? Mrudie mungu wako wewe achana na izo habari mchawi mkubwa wee
 
So kwa mada yako ya wachawi unaonyesha wazi unataka tuwe malokole sio? Kwani ulokole ndio njia pekee ya kupambana na uchawi? Na maombi ya usiku wanafanya walokole tuu waislam awafanyi? Achana na izo mambo wewe mwenyewe mchawi tuu ulijuaje siri za uchawi ikiwa vitabu vyote vya mungu amna ata kitabu kimoja kinachosema kuwa njia inayopita mchawi akiwa anapaa ndio njia anayorudia au kuna kitabu gani cha mungu kinasema kuna wachawi wanaotembea na fagio kijiko au ungo? Mrudie mungu wako wewe achana na izo habari mchawi mkubwa wee
Mh ww ni ngumu sana kusaidika.
 
Back
Top Bottom