Mashaxizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 6,707
- 3,327
Mpaka hapo unamanisha ukiristo ndio dini ya kweli na dini zote zilizobaki ni za uongo na hazina nguvu ya kuzuia wachawi!!! Teh teh teh! Wagatia mnashida sana then mnasahau hayo makanisa yenu ya kiroho pia hutumia uchawi, kinachotofautisha ni kuzidiana nguvu tu.
Cc stunna
Cc stunna
Last edited by a moderator: