Wafahamu wachawi na uchawi hapa

stunna

JF-Expert Member
Nov 7, 2013
258
146
Wachawi mara nyingi hufanya kazi katika ulimwengu wa roho yaani ulimwengu ambao huwezi kuuona kwa macho ya kimwili.

Kwahiyo ili kuuona ni lazma uwe na macho ya kichawi au macho ya kiroho,Wachawi huanza kazi yao pindi inapofika saa 6 usiku ambapo hukutana katika vilinge(madhabahu) vyao ambapo kilinge hicho huwa ni mti mkubwa sana kwa ajili ya ibada kabla ya kwenda kuwanga.

Kazi kubwa ya vilinge ni makutanio na katika kukutanika huko ndipo hupeana majukumu mbalimbali ya siku hiyo,inawezekana hata wew mtaani kwenu kipo kilinge lakini usikifahamu na sifa moja ya kilinge huwa ni jina lake kuwa maarufu na hubeba jina la sehemu husika mfano mwembe yanga,mwembetongwa,mbuyuni hiyo ni mifano michache tu ya vilinge kwa maana hubeba jina la sehem husika.

Pia wachawi huwa kuna siku ambayo hukutanika mara moja kwa mwezi kwa ajili ya kutatua shida zao mfano: kuongezewa nguvu na mkuu wa kilinge ambaye huwa ndio kiongozi wao ambaye huwapangia majukumu napia kushtakiana wao kwa wao maana pia hukopeshana misukule na nyama za watu.

Kwahyo wakishatokaga kwnye kilinge safari za kwenda kuwanga huanza ambapo hutumia usafiri mbalimbali kama ungo,fimbo,kijiko,fisi n.k katika kazi ambazo hufanya mara nyingi hupewa maagizo na viongozi wao ambao hao viongozi hupewa na mungu wa dunia hii ambae ni ibilisi moja kwa moja kutoka kuzimu na miongoni mwa hizo kazi ni kuhakikisha wanawasambaratisha wahubiri wa kikristo hasa wale wenye nguvu mfano kama marehem mzee kulola na pia kuhakikisha makanisa yote ya kiroho hayastawi maana vita kubwa ya shetani ni juu ya makanisa.

Kwa maana huamini kwmba kupitia watu wengi wanapookoka wao hujipunguzia wafuasi,kwahiyo hii ndio vita kubwa na majukumu makubwa sana ambayo ndio wamepewa wachawi na pia hii ndio vita ngumu sana kwao siku zote.

Pamoja na kazi zao zingine kama kuua,kufungia watu riziki zao na pia kuwatupia magonjwa lakini hiyo kazi ya kuua makanisa ndio kazi ngumu sana kwao.

Wachawi hutumia majini hasa jini anaeitwa khaurat kwa ajili ya usafiri ambapo kwa rank za usafiri mchawi anaetumia fimbo au bakora au kijiko huyo huwa ananguvu sana na huo ndio usafiri wa haraka kuliko usafiri wowote duniani,mchawi anaetumia ungo huyo ni mwanga au mchawi mdgo na hao ndio waliojaa uswahilini hao mara nyingi huwa na uwezo mdgo kinguvu.

Mchawi anapoanza safari ya kwenda kuloga ikiwa atapita juu ya nyumba yako wakati anaelekea kuloga na wakati wa kurudi itamlazimu apitie hapohapo kwako alipopita mwanzo maana huanza kuloga kuanzia saa 6 usiku ambapo ndio huanza shughuli zao na mwisho wa kuloga huwa ni saa 10 na nusu usiku ikizidi sana saa 11.

Wachawi wote duniani wameipitisha siku ya ijumaa kutokufanya safari yoyote ile ya kichawi au la ikitokea kwa dharula kwasababu siku ya ijumaa hupata vipingamizi sana vya safari zao kwa maana ijumaa mara nyingi walokole hufanya mikesha kwenye makanisa yao kwahiyo pindi wanapoomba na kusema kwao wachawi hupata shida sana na wakati mwngne hupata ajali au kupata ulemavu na hata kufa baada ya nguvu yake kuzidiwa na nguvu za Walokole wanapokuwa kwnye maombi yao na ndio maana unakuta mara nyingi wanaodondoka huwa ni wachawi wadogo wanaotumia ungo kwa maana wao nguvu zao huwa nindogo tofauti na wale wanaotumia fimbo au fagio ambao wenyew huweza kupata ulemavu.

Kwahiyo sasa ikiwa mchawi atapita kwao saa 7 ukiwa umelala na wakati anarudi saa 10 akute unaomba au mnafanya maombi basi tambua kwamba lazma atapata shida sana ndio maana walokole huwa wanaamka usiku wa manane kuomba maana husema vita vyao si vya damu na nyama(mwili) kama dini nyingne bali wao vita vyao nivyakiroho dhidi ya falme za wachawi,majeshi ya pepo wabaya na wakuu wa giza.

Ndio maana huomba sana kwa kukemea nguvu zote za giza,pia mchawi anapokutupia ugonjwa huwa ni sawa na ugonjwa halali kwa dalili na hata unapoenda hospital kupima hukuta ni ugonjwa huo ndio maana mtu anapoenda kanisani kuombewa na kuponywa mhubiri anaposema kwa jina la Yesu ugonjwa flani toka basi ugonjwa huo moja kwa moja hurudi kuzimu mahali ambapo hutengenezwa kwa maana magonjwa ya kichawi hutengenezwa kuzimu kwahyo yanaporudi huko huwa ni kama ni mzgo uliorudi kwa hasara.

Shetani yupo duniani kwa ajili ya kutesa watu ili kupitia mateso hayo watu wamfuate ndio unakuta mtu akishafungiwa riziki zake hujikuta anaenda kwa mganga kupata utajiri au kupata nyota na tayari anakuwa keshakuwa mfuasi na shetani anafahamu kabsa kwmba tayari keshahukumiwa ila sasa hataki kuangamizwa pekeyaana anatafuta wafuasi ili aangamizwe nao.

Nitarudi tena kuelezea kuhusu majini
 
Mungu akubariki kwa ujumbe mzuri. nasikitika kusema kuwa hata humu jf shetani amejaa, ndio maana wengi watakuwa wanaikimbia hii thread na hawachangii kwasababu shetani hataki wafanye hivyo. ungeweka threat ya mapenzi na mapicha ya ngono hapa watu wangeshachangia hata alfu moja.
 
Asante sana lakini naisubiri kwa hamu hio ya majini maana this is so serious kuna vita kubwa sana ya kiroho ambayo hatuioni lakini kama ukisali sana na ukawa na macho ya kiroho utaona
 
Vipi kwa wenzetu waislam?au hayo majini na mashetani hayawahusu wao?na kama ndivyo unajifunza nini hapo?au Mungu ni wa walokole tu?au umeelezea upande unaoujua tu?kama ndivyo basi tukubaliane kuwa elimu yako haijakamilika! Huwezi kuzungumzia mti kwa kuainisha tawi moja pekee,nilitegemea utueleze majini na wachawi ni viumbe wa aina gani,wameumbwa na nani,kwa makusudi gani,nk,ila nilichokiona hapo ni promotion kwa walokole mwanzo mwisho,na kwa bahati mbaya zaidi ukweli usiohitaji scientifical proof ni kuwa jamii ya walokole ndiyo moja ya jamii zinazotaabika sana kwa ukosefu wa maarifa wakitanguliwa na jamii ya waaminio ushirikina,Mungu akubariki ili uweze kuzifanyia kazi changamoto hizi na next time uje ukiwa more smart.
 
Mungu akubariki kwa ujumbe mzuri. nasikitika kusema kuwa hata humu jf shetani amejaa, ndio maana wengi watakuwa wanaikimbia hii thread na hawachangii kwasababu shetani hataki wafanye hivyo. ungeweka threat ya mapenzi na mapicha ya ngono hapa watu wangeshachangia hata alfu moja.

Kuna wale wapinga Kristo wa madhehebu Yale ya zamani watakuja kuupinga wokovu. Pia kuna wale wa ibilisi watakuja na kuanza kulinganisha wokovu na dini yao
 
stunna nakuelewa sana, mkuu.
Ila kidogo nitie tie nyama then msomaji huweza kupata mwanga na majibu ya baadhi ya maswali yake.
Kila kitu kina higher level katika utendaji wake, katika hizo level kuna watu ambao ni choosen one ambao huweza kabidhiwa siri ya kitu husika na kuaminika moja kwa moja na Blue print wa uchawi na giza ambae ni Lucifer.
kama alivyosem wanaotumia Fimbo na miongon mwa wenye nguvu kidgo, katika process moja ya kuhakikisha fimbo hutumika kama usafir haya hufanyika. Muhusika anaiweka fimbo hiyo chini, kisha huanza kusoma dua fulani kwa Lugha ya kiarabu fimbo hiyo hunyanyuka na kupanda hewani kama ilivyokuwa imelazwa. Sasa hapo muhusika atakanyaga upande mmoja wa fimbo kisha majini yake yatamwonyesh njia yote atayopita roho, na kuona kama kuna hatari yeyote atapewa warning pia, akiweka mguu wa pili kwenye fimbo safari itaanza, tena hiii ndio njiaa ya haraka sana.
Nini hufanyika hapo, roho itaacha mwili (kama baadhi wanavyofundisha jinsi ya kutoka nje ya mwili humu) fimbo ile itaanza kukimbia na roho yako itaanza kuifata mwili huo kwa haraka sana ndio maana jina lingine la usafiri huu ni kujitoa uhai.

Waganga wengi unaowaona ni zao hilo hilo la kuzimu, wana kazi na wajibu wao pia, ila dhumuni kubwa ni kupeleka roho nyingi kuzimu na kutesa watu na kuwaondoa akili za kuwaza ibada. Wao wanaleta shida na hao hao hujifanya kuleta suluhu ili kukamata roho yako vizuri, kumjua mganga angalia equation hiii
Mganga =mchawi + Tabibu.
Ni zaid ya uchawi maana huweza kuroga na kuagua.

Unapo pata shida za wachawi hujaenda kwa mganga ni sawa umepigwa na chui ukaenda kwa simba kutaka msaada.
Msaada huo ni wa muda mfupi haudumu milele. Ukitaka kuwa Salama tafuta Mungu wa kweli ambae hana shaka na wala hajawahi hata kuhisiwa au kutamkwa popote kuwa ni Mungu wa kuzimu, Ukipata wachawi 100 hakuna hata mmoja ambae anasema alitumwa, au kukutana na YESU ili ampe nguvu za kichawi, mengine tafakari.

Kila nitakapo pata neno la kuchangia nitafanya hivyo
 
Last edited by a moderator:
Vipi kwa wenzetu waislam?au hayo majini na mashetani hayawahusu wao?na kama ndivyo unajifunza nini hapo?au Mungu ni wa walokole tu?au umeelezea upande unaoujua tu?kama ndivyo basi tukubaliane kuwa elimu yako haijakamilika! Huwezi kuzungumzia mti kwa kuainisha tawi moja pekee,nilitegemea utueleze majini na wachawi ni viumbe wa aina gani,wameumbwa na nani,kwa makusudi gani,nk,ila nilichokiona hapo ni promotion kwa walokole mwanzo mwisho,na kwa bahati mbaya zaidi ukweli usiohitaji scientifical proof ni kuwa jamii ya walokole ndiyo moja ya jamii zinazotaabika sana kwa ukosefu wa maarifa wakitanguliwa na jamii ya waaminio ushirikina,Mungu akubariki ili uweze kuzifanyia kazi changamoto hizi na next time uje ukiwa more smart.

We Vp ! Unauliza mipango CCM ?.. Wale Washkaji Zao ina maana hujui au ? ndiyo maana wanakwambia majini yalisilimu yakawa waislam
 
Darasa zuri sana. Kwanini majini walisikiapo jina la YESU hutetemeka?
 
Vipi kwa wenzetu waislam?au hayo majini na mashetani hayawahusu wao?na kama ndivyo unajifunza nini hapo?au Mungu ni wa walokole tu?au umeelezea upande unaoujua tu?kama ndivyo basi tukubaliane kuwa elimu yako haijakamilika! Huwezi kuzungumzia mti kwa kuainisha tawi moja pekee,nilitegemea utueleze majini na wachawi ni viumbe wa aina gani,wameumbwa na nani,kwa makusudi gani,nk,ila nilichokiona hapo ni promotion kwa walokole mwanzo mwisho,na kwa bahati mbaya zaidi ukweli usiohitaji scientifical proof ni kuwa jamii ya walokole ndiyo moja ya jamii zinazotaabika sana kwa ukosefu wa maarifa wakitanguliwa na jamii ya waaminio ushirikina,Mungu akubariki ili uweze kuzifanyia kazi changamoto hizi na next time uje ukiwa more smart.


  • We Vp ! Unauliza mipango CCM ?.. Wale Washkaji Zao ina maana hujui au ? ndiyo maana wanakwambia majini yalisilimu yakawa waislam​



 
Wachawi mara nyingi hufanya kazi katika ulimwengu wa roho yaani ulimwengu ambao huwezi kuuona kwa macho ya kimwili.

Kwahiyo ili kuuona ni lazma uwe na macho ya kichawi au macho ya kiroho,Wachawi huanza kazi yao pindi inapofika saa 6 usiku ambapo hukutana katika vilinge(madhabahu) vyao ambapo kilinge hicho huwa ni mti mkubwa sana kwa ajili ya ibada kabla ya kwenda kuwanga.

Kazi kubwa ya vilinge ni makutanio na katika kukutanika huko ndipo hupeana majukumu mbalimbali ya siku hiyo,inawezekana hata wew mtaani kwenu kipo kilinge lakini usikifahamu na sifa moja ya kilinge huwa ni jina lake kuwa maarufu na hubeba jina la sehemu husika mfano mwembe yanga,mwembetongwa,mbuyuni hiyo ni mifano michache tu ya vilinge kwa maana hubeba jina la sehem husika.

Pia wachawi huwa kuna siku ambayo hukutanika mara moja kwa mwezi kwa ajili ya kutatua shida zao mfano: kuongezewa nguvu na mkuu wa kilinge ambaye huwa ndio kiongozi wao ambaye huwapangia majukumu napia kushtakiana wao kwa wao maana pia hukopeshana misukule na nyama za watu.

Kwahyo wakishatokaga kwnye kilinge safari za kwenda kuwanga huanza ambapo hutumia usafiri mbalimbali kama ungo,fimbo,kijiko,fisi n.k katika kazi ambazo hufanya mara nyingi hupewa maagizo na viongozi wao ambao hao viongozi hupewa na mungu wa dunia hii ambae ni ibilisi moja kwa moja kutoka kuzimu na miongoni mwa hizo kazi ni kuhakikisha wanawasambaratisha wahubiri wa kikristo hasa wale wenye nguvu mfano kama marehem mzee kulola na pia kuhakikisha makanisa yote ya kiroho hayastawi maana vita kubwa ya shetani ni juu ya makanisa.

Kwa maana huamini kwmba kupitia watu wengi wanapookoka wao hujipunguzia wafuasi,kwahiyo hii ndio vita kubwa na majukumu makubwa sana ambayo ndio wamepewa wachawi na pia hii ndio vita ngumu sana kwao siku zote.

Pamoja na kazi zao zingine kama kuua,kufungia watu riziki zao na pia kuwatupia magonjwa lakini hiyo kazi ya kuua makanisa ndio kazi ngumu sana kwao.

Wachawi hutumia majini hasa jini anaeitwa khaurat kwa ajili ya usafiri ambapo kwa rank za usafiri mchawi anaetumia fimbo au bakora au kijiko huyo huwa ananguvu sana na huo ndio usafiri wa haraka kuliko usafiri wowote duniani,mchawi anaetumia ungo huyo ni mwanga au mchawi mdgo na hao ndio waliojaa uswahilini hao mara nyingi huwa na uwezo mdgo kinguvu.

Mchawi anapoanza safari ya kwenda kuloga ikiwa atapita juu ya nyumba yako wakati anaelekea kuloga na wakati wa kurudi itamlazimu apitie hapohapo kwako alipopita mwanzo maana huanza kuloga kuanzia saa 6 usiku ambapo ndio huanza shughuli zao na mwisho wa kuloga huwa ni saa 10 na nusu usiku ikizidi sana saa 11.

Wachawi wote duniani wameipitisha siku ya ijumaa kutokufanya safari yoyote ile ya kichawi au la ikitokea kwa dharula kwasababu siku ya ijumaa hupata vipingamizi sana vya safari zao kwa maana ijumaa mara nyingi walokole hufanya mikesha kwenye makanisa yao kwahiyo pindi wanapoomba na kusema kwao wachawi hupata shida sana na wakati mwngne hupata ajali au kupata ulemavu na hata kufa baada ya nguvu yake kuzidiwa na nguvu za Walokole wanapokuwa kwnye maombi yao na ndio maana unakuta mara nyingi wanaodondoka huwa ni wachawi wadogo wanaotumia ungo kwa maana wao nguvu zao huwa nindogo tofauti na wale wanaotumia fimbo au fagio ambao wenyew huweza kupata ulemavu.

Kwahiyo sasa ikiwa mchawi atapita kwao saa 7 ukiwa umelala na wakati anarudi saa 10 akute unaomba au mnafanya maombi basi tambua kwamba lazma atapata shida sana ndio maana walokole huwa wanaamka usiku wa manane kuomba maana husema vita vyao si vya damu na nyama(mwili) kama dini nyingne bali wao vita vyao nivyakiroho dhidi ya falme za wachawi,majeshi ya pepo wabaya na wakuu wa giza.

Ndio maana huomba sana kwa kukemea nguvu zote za giza,pia mchawi anapokutupia ugonjwa huwa ni sawa na ugonjwa halali kwa dalili na hata unapoenda hospital kupima hukuta ni ugonjwa huo ndio maana mtu anapoenda kanisani kuombewa na kuponywa mhubiri anaposema kwa jina la Yesu ugonjwa flani toka basi ugonjwa huo moja kwa moja hurudi kuzimu mahali ambapo hutengenezwa kwa maana magonjwa ya kichawi hutengenezwa kuzimu kwahyo yanaporudi huko huwa ni kama ni mzgo uliorudi kwa hasara.

Shetani yupo duniani kwa ajili ya kutesa watu ili kupitia mateso hayo watu wamfuate ndio unakuta mtu akishafungiwa riziki zake hujikuta anaenda kwa mganga kupata utajiri au kupata nyota na tayari anakuwa keshakuwa mfuasi na shetani anafahamu kabsa kwmba tayari keshahukumiwa ila sasa hataki kuangamizwa pekeyaana anatafuta wafuasi ili aangamizwe nao.

Nitarudi tena kuelezea kuhusu majini

jamani msizungumze mambo ambayo huna taaluma nayo kwakuhubiri ulkole umeweza ilauchawi ni zaid yahayo ulosema ndugu upo uchwi wa aina nyng sana na siwote wanakutana ijumaa kwmye vilnge na hakuna jini anaeitwa khairut na kama ulikua hujui wapo wachaw wanatumi hayo hayo makanisa kktania tena huku kwetu kwasiri lkn hukonjelive na humohutumia hyobible kfnikisha baadh ya shughli zao.mm nina elim yakutosha juu ya hayo mambo na nshafika nchinyngi za ulaya mashriki na afrikamaghrib na ucpnde kkrupuka humu jf hivyo vtu vnawajuz wake sio umekremsha story zakijjni kwnu unakuja kuletamada usioijua hapa
 
jamani msizungumze mambo ambayo huna taaluma nayo kwakuhubiri ulkole umeweza ilauchawi ni zaid yahayo ulosema ndugu upo uchwi wa aina nyng sana na siwote wanakutana ijumaa kwmye vilnge na hakuna jini anaeitwa khairut na kama ulikua hujui wapo wachaw wanatumi hayo hayo makanisa kktania tena huku kwetu kwasiri lkn hukonjelive na humohutumia hyobible kfnikisha baadh ya shughli zao.mm nina elim yakutosha juu ya hayo mambo na nshafika nchinyngi za ulaya mashriki na afrikamaghrib na ucpnde kkrupuka humu jf hivyo vtu vnawajuz wake sio umekremsha story zakijjni kwnu unakuja kuletamada usioijua hapa

Foxyizafa nadhani mleta mada kaandika kutokana na upeo wake ulipoishia kwenye hii mada ...sasa ww kama unauelewa mkubwa zaidi ilibidi uongezee au uandike jinsi ujuavyo ww kuliko kumkosoa mtu bila kuelezea ukweli wako ..inaonekana hii mada kama imekugusa umejibu kwa jazba sana
 
Kuna wale wapinga Kristo wa madhehebu Yale ya zamani watakuja kuupinga wokovu. Pia kuna wale wa ibilisi watakuja na kuanza kulinganisha wokovu na dini yao

nyinyi ndo mnajua dini kuliko hao wazamani walioiandika hiyo bible?nyie ni watu waajbu sana nshashuudia walokele wengi wakitaabishwa namaradh yakishrikina namaomb yao kdunda mwisho huangukia kwa waganga wakienyeji au waganga njaa wakiroho kna gwjima nawaupko nakikubwa kinachowasumbua niujuaji haliyakuwa hata hiyo bible ynyewe mm muislam hawanifikii jinsi nnavyoijua na sasa ndowanajikuta kwnye ukrsto hawapo upagni naohawajauingia hapo ndoshtani anapozd kufanikiwa na ile kauli ya mw.mungu inapotimia.SOMENI JAMANI SIO MNAKUA KMAMAGOMBE Mtapata tabu dunian na ukomwendako pia nafuu hakuna
 
Back
Top Bottom