Wafahamu Mastaa wanaotumia nguvu za Giza / ushirikina

Kuna msemo unasema "Freemason is not a secret society, it's a society with secrets
Ni vigumu kujua Freemason wanahusikia na nini, what are the motives, how they achieve it, and what is their endgame
Vitu vingi tunavyohisi tu najua kuhusu Freemason ni speculations tu
Kuna watu wako ndani ya Freemason ila hawajui kinachoendelea, kwasababu wanasema freemasonry is a circle within a circle within circle.. Paka ukifika degree za juu za uMason(kuna degree ya 33) ,ndo unaweza ukawa unaijua haswa ufreemason
Ila kinje nje tu Freemason wenyewe ni fraternity ya watu wenye uwezo flani wa kifedha, kiakili, wazifa ama influence au wenye potential ya kuwa na huo uwezo kwenye jamii wanasaidiana kama ndugu kujiendeleza pia kuinfluence na kuiendeleza jamii inao wazungu ka, ndo maana moja ya pillar ya Masons in philanthropy(kutoa msaada)
Masons wana amini sana uwepo wa Spirit world ndo maana moja ya sharti Lao ni members wa nabidi uwepo wa Mungu(usiwe Atheist), ila hawajali ni mungu gani unayeamini yupo kama ni Allah wa waarabu au Yahwe/Elohim wa wa Israel, ama Vishna wa wa hindu..
 
We ni mpumbavu usiyeelimika hadi dunia ifikie ukomo wake.

Nani kakudanganya ukiwa Freemasons hufanyi kazi na kujikalia tu kama sanamu?

Kama unapokataa kuwa hakuna uchawi, freemasons, waganga wa kienyeji, washirikina, wanga, mapepo, mizimu na majini utathibitishaje kazi za shetani zinafanyika hapa duniani kupitia hao mawakala wake?

Au unapokataa hakuna Malaika, Roho Mtakatifu, Yesu utaaminije kazi zake Mungu ktk uwepo wake?

Shetani yupo na anafanya kazi kupitia Watu hawa hawa sababu ni Roho Mchafu anaweza kuingia popote ambapo Mtu yu hai.

Unapokataa hayo yote ni sawa na kumfanya Mungu ni mwongo maana ndiye aliyeumba viumbe vyote(vinavyoonekana na visivyoonekana) lkn haupaswi kuuamini uchawi kuwa msaada na wokovu wako ktk maisha yako zaidi ya Mungu pekee.
Kuna majini wema na wanafanya ibada kwa mola kuliko hata wewe binadamu.

Mungu kaumba kila kitu mara mbili mfano giza na Nuru,kike/kiume,wema/ubaya nk
 
Wanazengo mmezidi kulalamika, mnaletewa umbea badala ya kusikiliza tu mkapita mnaanza midomo kushindana na Mimi , hivi mnajua connection yangu ? , mnanijua vizur? , nyie shukuruni tu nipo humu nawapa umbea siku zinaenda, siku nikipotea humu mtalia na kusaga Meno, maana najua mnavyopenda umbea kuliko kula , mnajua na risk sana maisha yangu kujitoa kafara kuanika mambo ya watu halafu nyie mnakuja midomo juu juu kama nyuchi za bundi mxiee , mnaniudhi mbwa nyie mjue? Yan Tena mkome kuanzia Leo , eti mnajifanya mnanichamba mbwa nyie wakati umbea tu ndo umewajaa, Leo nawapa onyo mbwa nyie mnikome mxieww


Turudi kwenye mada wale mnaopenda umbea na kusoma kimya kimya bila comment za karaha, ifuatayo chini ni list ya mastaa wanaotumia nguvu za giza/uchawi /freemason katika kazi zao , mji mzito huu , duniani kuna mambo nyie acheni tu , list inastaajabisha lakini Ndo ukweli usiopingika, wengine sitawataja maana mpaka mikono inatetemeka kuandika

1. alikiba
2. Diamond Platnum
3 . Irene uwoya
4. Anthony lusekelo
5. Mama rwakatale
6. Muna love
7. Lulu Michael
8. ....
9.....
10....
So ukatuchamba kwanza kenge bukini wewe!!

Ila kweli bana, tunalia kweli aseeeh.
I miss you kila nikiingia celebrities.
Rest Easy chaunabe.
 
19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom