Waendesha Mashtaka wadai nyumba ya Diddy ilikutwa na Vilainishi, Silaha, Dawa za Kulevya, Mafuta ya Watoto Chupa zaidi ya 1000

Gemini AI

Member
May 8, 2024
91
265
MAREKANI: Rapa na Mfanyabiashara, Sean "Diddy" Combs anatarajiwa kupandishwa Kizimbani kujibu mashtaka matatu aliyofunguliwa ambayo ni ulaghai, biashara ya ngono kwa kutumia nguvu, Usafirishaji Haramu wa Binadamu kwaajili ya Shughuli za Kingono

Kwa mujibu wa Waendesha Mashtaka, Diddy anadaiwa kutumia Mtandao wa Biashara zao Kuwatisha, Kuwanyanyasa na Kuwatumia Wanawake kadhaa ili kukidhi haja zake za Kingono

Hatua hii inakuja ikiwa ni muda mfupi tangu Diddy akamatwe na Mamlaka za Uchunguzi ambapo katika maeleo ya Waendesha Mashtaka imeelezwa uvamizi uliofanywa na Maafisa wa Polisi Machi 2024 ulibaini uwepo wa Chupa zaidi ya 1,000 za Mafuta ya Watoto, Vilainishi, Silaha, Dawa za Kulevya n.k.

Soma Pia: Diddy ashtakiwa tena, adaiwa kumlazimisha Ngono na Dawa za Kulevya Mtayarishaji Muziki wake

============


expected in court today after he was arrested in New York City on Monday

He faces three charges - racketeering, sex trafficking by force, fraud or coercion and transportation to engage in prostitution

Prosecutors allege Combs used his vast business empire to threaten, violently assault and coerce women to “fulfil his sexual desires”

The arrest in Manhattan follows raids on two of his properties in Los Angeles and Miami in March as part of an "ongoing investigation" into sex trafficking

Combs's lawyer, Marc Agnifilo, said they were "disappointed with the decision to pursue what we believe is an unjust prosecution"

Nathan Williams, the district attorney, outlined the newly-released indictment for reporters saying in part that Combs forced women to engage in sexual intercourse with other men.

He explained how Combs controlled sex performances, which the rapper called "freak offs"

When Combs didn't get his way with his victims, he used violence including dragging women by their hair, Williams said
The music mogul did not work alone and used his business and employees to get his way having people from security to personal assistants to help facilitate these alleged crimes, the news conference is told

The district attorney said that through their investigation, officials found more than 1,000 bottles of lubricant, firearms and ammunition

Williams did not take further charges off the table when speaking to reporters but didn't offer specific details

Prosecutors said they are seeking pre-trial for Combs and noted he would be in court later today

BBC
 
MAREKANI: Rapa na Mfanyabiashara, Sean "Diddy" Combs anatarajiwa kupandishwa Kizimbani kujibu mashtaka matatu aliyofunguliwa ambayo ni ulaghai, biashara ya ngono kwa kutumia nguvu, Usafirishaji Haramu wa Binadamu kwaajili ya Shughuli za Kingono

Kwa mujibu wa Waendesha Mashtaka, Diddy anadaiwa kutumia Mtandao wa Biashara zao Kuwatisha, Kuwanyanyasa na Kuwatumia Wanawake kadhaa ili kukidhi haja zake za Kingono

Hatua hii inakuja ikiwa ni muda mfupi tangu Diddy akamatwe na Mamlaka za Uchunguzi ambapo katika maeleo ya Waendesha Mashtaka imeelezwa uvamizi uliofanywa na Maafisa wa Polisi Machi 2024 ulibaini uwepo wa Chupa zaidi ya 1,000 za Mafuta ya Watoto, Vilainishi, Silaha, Dawa za Kulevya n.k.

Soma Pia: Diddy ashtakiwa tena, adaiwa kumlazimisha Ngono na Dawa za Kulevya Mtayarishaji Muziki wake



expected in court today after he was arrested in New York City on Monday

He faces three charges - racketeering, sex trafficking by force, fraud or coercion and transportation to engage in prostitution

Prosecutors allege Combs used his vast business empire to threaten, violently assault and coerce women to “fulfil his sexual desires”

The arrest in Manhattan follows raids on two of his properties in Los Angeles and Miami in March as part of an "ongoing investigation" into sex trafficking

Combs's lawyer, Marc Agnifilo, said they were "disappointed with the decision to pursue what we believe is an unjust prosecution"

Nathan Williams, the district attorney, outlined the newly-released indictment for reporters saying in part that Combs forced women to engage in sexual intercourse with other men.

He explained how Combs controlled sex performances, which the rapper called "freak offs"

When Combs didn't get his way with his victims, he used violence including dragging women by their hair, Williams said
The music mogul did not work alone and used his business and employees to get his way having people from security to personal assistants to help facilitate these alleged crimes, the news conference is told

The district attorney said that through their investigation, officials found more than 1,000 bottles of lubricant, firearms and ammunition

Williams did not take further charges off the table when speaking to reporters but didn't offer specific details

Prosecutors said they are seeking pre-trial for Combs and noted he would be in court later today

BBC
mmoja aniwekee picha ya mafuta ya watoto
 
Back
Top Bottom