Google Diggers
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 940
- 1,123
Nikiwa mdgo sikumbuki Umri lkn nakumbuka matendo waliokuwa wakifanyiana watoto.
Sijui Kwa nini nilikubali kuvutwa na katoto lakini kalinizidi Umri kidogo akanivua bukta na kuanza kunilawiti Kwa kweli hakina kitu inaniuma kama Hii kumbukumbu.
Uwa nakutana naye na ana watoto wa kike na amemuoa ndg yangu. Kwahiyo Watoto wake ni ndugu zangu.
Hii tabia inanila moyoni hadi sasa. Na Umri wangu huu wa 52 years sikuwahi kumuambia mtu.
Nasema haya kutoa tahadhari Kwa wazazi na walezi na walimu kuwa karibu na watoto wanalawitiana. Wanaume waliobarekhe ni hatari sana kwa watoto wa jinsia zote me na ke.
Wazaz waelekezeni hatari ya watoto wenzao wanaowataka kuwafanya vibaya.
Sijui Kwa nini nilikubali kuvutwa na katoto lakini kalinizidi Umri kidogo akanivua bukta na kuanza kunilawiti Kwa kweli hakina kitu inaniuma kama Hii kumbukumbu.
Uwa nakutana naye na ana watoto wa kike na amemuoa ndg yangu. Kwahiyo Watoto wake ni ndugu zangu.
Hii tabia inanila moyoni hadi sasa. Na Umri wangu huu wa 52 years sikuwahi kumuambia mtu.
Nasema haya kutoa tahadhari Kwa wazazi na walezi na walimu kuwa karibu na watoto wanalawitiana. Wanaume waliobarekhe ni hatari sana kwa watoto wa jinsia zote me na ke.
Wazaz waelekezeni hatari ya watoto wenzao wanaowataka kuwafanya vibaya.