Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,879
- 8,800
Wanaoota kwamba wanaweza kuitoa ccm madarakani kwa kura huwa nawaangalia nasema hiiii.Hawa ccm ni wa kuvurumushwa kwa nguvuLissu maskini kila mtu anamkataa
Wanaoota kwamba wanaweza kuitoa ccm madarakani kwa kura huwa nawaangalia nasema hiiii.Hawa ccm ni wa kuvurumushwa kwa nguvuLissu maskini kila mtu anamkataa
Mkuu Huyu lissu lazima atiwe hatiani,mbona liko wazi,huyu lissu ni hatari sana kwa ustawi wa jamii ya watanzania
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Mkuu sheria zinatungwa kukandamiza watu na kulinda madaraka.usifikiri sheria Africa ni utaratibu wa wastarabu.Acha utoto,mtu yupo ulaya mzima wa afya kwa nini haji mahakamani? Au haujui huu ni utaratibu wa kisheria!
Kweli wewe hujijui, yaani mtu anakiuka mashariti ya dhamana unasema anakandamizwa? Mbona alipewa dhamana kama sheria ni mbaya.Mkuu sheria zinatungwa kukandamiza watu na kulinda madaraka.usifikiri sheria Africa ni utaratibu wa wastarabu.
Ebu nikumbushe kidogo alifanya nini? Anatafuta ujaji maana he is very senior at Kisutu, only one step kuuvaa U Judge!!Thomas Simba!!???, again!!??...
Mkuu hujafa hujaumbika,leo ni wewe na mahukru Mungu Kama kesho itakuwa yako piaKweli wewe hujijui, yaani mtu anakiuka mashariti ya dhamana unasema anakandamizwa? Mbona alipewa dhamana kama sheria ni mbaya.
Hayo yanatoka wapi? Maana ishu hapa ni sheria za nchi.Mkuu hujafa hujaumbika,leo ni wewe na mahukru Mungu Kama kesho itakuwa yako pia
Nimeshakuambia hizi sheria zinatumika kunyima haki watu wengine na kulinda madaraka na ndo maana sheria hiyo hiyo ya uhujumu uchumi Ina muweza kabendera gerezani bila dhamana wakati Lugola na wengine wakiishia kuhojiwa tu na polisi Ila kwa kuwa uko upande huo huwezi onaHayo yanatoka wapi? Maana ishu hapa ni sheria za nchi.
Huo ni mtazamo wako.Nimeshakuambia hizi sheria zinatumika kunyima haki watu wengine na kulinda madaraka na ndo maana sheria hiyo hiyo ya uhujumu uchumi Ina muweza kabendera gerezani bila dhamana wakati Lugola na wengine wakiishia kuhojiwa tu na polisi Ila kwa kuwa uko upande huo huwezi ona
Unamkataaa wewe peke yako, usiusemeee umma khaaaaahLissu maskini kila mtu anamkataa
CCM bila mbeleko na mabavu ya vyombo vya dola haiwezi kupata hata 10% ya kura, kama wanabisha wakubali uchaguzi uwe huru na wa haki waone moto wake.