mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
WanaYanga wenzangu leo nimekatisha pale mitaa ya msimbazi na kuwakuta WAPENZI wa Simba wakijinasifu kuwa Klabu ya Simba ni ya 16 ktk ubora wa vilabu CAF. Yanga tukiwa Mabingwa wa Kihistoria je tunashika nafasi ya ngapi? Wachambuzi wa Soka hebu tuambieni.