Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,268
Nchi ishakua pochi la wachina watu wanyonyaji wadhurumati mfano hai wafanyakazi wao wanawatumikisha viwandani na magodown mzee baba chukulia mfano tu hapo tangu tuwe na ujamaa nao hawa watu tumefaidika na nini nchi yetu hadi leo
Tuache masihara anae fanya kazi kwa huyo mnaemuita beberu na mfanyakazi wa mchina na muhindi nani ana nafuu ya kimaisha kwanza smart msomi ana hudumiwa vizuri bima ya afya usafiri ana pewa pakulala mfanyakazi wa beberu huyo ambae ni mzungu njoo kwa mchina na muhindi tazama wafanya kazi wao wamechoka kiakili mwili maisha kwa siku ana lipwa kiwandani 5000 au 7000 hadi 3500 hebu angalia south African hajamfukuza huyo beberu
Utafananisha na nchi zingine walio mfukuza beberu na kuweka wachina Magufuli naomba usitume watu wako kwenda kukagua viwandani wala magodown ww siumesema kama unavyo jiita rais wa wanyonge nenda mwenyewe ukaangalie halafu wahoji wananchi wako jibu utalipata
Mimi CCM sielewi hapa nimeongea point lakini kuna vilaza wataniona me mbaya