Wadau wenzangu wa Forex...

Adimu

JF-Expert Member
Aug 22, 2013
655
284
Baada ya kupata loss kidogo nikakaa benchi kujitafakari kidogo

Nilichogundua:
1/ Hakuna biashara isiyokua na hasara.
2/ Hasara inapaswa kuichukulia kama changamoto na utafute solutions ulipokosea.
3/ Ukiwa mfanyabiashara kuna kupata na kukosa.
4/ Utulivu na uvumilivu unaitajika sana ili kupiga hatua.

Sasa wananzengo wenzangu wa Forex nipeni moyo na ushauri nataka nitumie muda mwingi sana kusoma na kugoogle pamoja na kuangalia videos youtube ili niludi kivingine kwenye biashara yetu ya Forex. Karibuni
 
wenzangu wa forex nipeni moyo na ushauri nataka nitumie muda mwingi sana kusoma na kugoogle pamoja na kuangalia videos youtube
Je ni trading style ipi ambayo umeona kuwa inakufaa?? , Tuanzie hapa kwanza.

Sababu kusoma bila ya kuwa na specific trading strategy/ trading style ; yaani nini hasa unafanyia kazi, still itakuwa bado hujafanya kitu.
 
Halafu naona kila anaekuja kuhusu forex ni kulia amepigwa,amepigwa. Hakuna anaerudisha mrejesho wa kupiga hela huko. Kama ni hivyo kwa nini msiachane na hilo dude?
 
Halafu naona kila anaekuja kuhusu forex ni kulia amepigwa,amepigwa. Hakuna anaerudisha mrejesho wa kupiga hela huko. Kama ni hivyo kwa nini msiachane na hilo dude?
Kila mtu kwa utashi wake, ana uhuru wa kuchagua shughuri anayo ona ina mfaa katika maisha yake.
- Kuna waliochagua kilimo
- Kuna walio chagua ajira
- Kuna waliochagua biashara ndogo ndogo
- Kuna walio chagua ku_bet
- Kuna waliochagua kuwa wanasiasa
- Kuna waliochagua kufanya biashara ya ubadilishaji wa fedha
- Kuna waliochagua kuwa mama ntilie
- Kuna walio chagua kuwa waosha magari
- Kuna walio chagua kulelewa na kutofanya kazi yeyote
- .....
Waweza endelea orodha ni ndefu,

Ni utashi wao

Hivyo ni vyema na huna budi ndugu Swet-R kuheshimu utashi wa mtu na uchaguzi wa mtu binafsi kile alichochakua kufanya kwenye maisha yake licha ya changamoto anazokumbana nazo
 
Je ni trading style ipi ambayo umeona kuwa inakufaa?? , Tuanzie hapa kwanza.

Sababu kusoma bila ya kuwa na specific trading strategy/ trading style ; yaani nini hasa unafanyia kazi, still itakuwa bado hujafanya kitu.
Natamani sana kua scarper, japo nakosea maana scarping inafaa kuingia sokoni lot size kubwa
 
Mbona wapo wengi wanaopiga pesa na wameweka ushuhuda huku?
Halafu naona kila anaekuja kuhusu forex ni kulia amepigwa,amepigwa. Hakuna anaerudisha mrejesho wa kupiga hela huko. Kama ni hivyo kwa nini msiachane na hilo dude?
 
Kila mtu kwa utashi wake, ana uhuru wa kuchagua shughuri anayo ona ina mfaa katika maisha yake.
- Kuna waliochagua kilimo
- Kuna walio chagua ajira
- Kuna waliochagua biashara ndogo ndogo
- Kuna walio chagua ku_bet
- Kuna waliochagua kuwa wanasiasa
- Kuna waliochagua kufanya biashara ya ubadilishaji wa fedha
- Kuna waliochagua kuwa mama ntilie
- Kuna walio chagua kuwa waosha magari
- Kuna walio chagua kulelewa na kutofanya kazi yeyote
- .....
Waweza endelea orodha ni ndefu,

Ni utashi wao

Hivyo ni vyema na huna budi ndugu Swet-R kuheshimu utashi wa mtu na uchaguzi wa mtu binafsi kile alichochakua kufanya kwenye maisha yake licha ya changamoto anazokumbana nazo
Umenena ukweli mtupu
 
Kila mtu kwa utashi wake, ana uhuru wa kuchagua shughuri anayo ona ina mfaa katika maisha yake.
- Kuna waliochagua kilimo
- Kuna walio chagua ajira
- Kuna waliochagua biashara ndogo ndogo
- Kuna walio chagua ku_bet
- Kuna waliochagua kuwa wanasiasa
- Kuna waliochagua kufanya biashara ya ubadilishaji wa fedha
- Kuna waliochagua kuwa mama ntilie
- Kuna walio chagua kuwa waosha magari
- Kuna walio chagua kulelewa na kutofanya kazi yeyote
- .....
Waweza endelea orodha ni ndefu,

Ni utashi wao

Hivyo ni vyema na huna budi ndugu Swet-R kuheshimu utashi wa mtu na uchaguzi wa mtu binafsi kile alichochakua kufanya kwenye maisha yake licha ya changamoto anazokumbana nazo
Forex haina tofauti na kamari muda wowote unalia
 
Mpaka nimekuja na mawazo hayo, nimechunguza sana na kujua hakuna tofauti sana na biashara nyingine, nilijalibu kulima pia nikaambulia kichapo pamoja best zangu nao waliobobea kwenye kilimo lakini mwaka huu mpunga umewatoa machozi, wanaobeti pia wanalia, tuliowaacha kwenye ajira wanatamani kutoka, bola niweke mkazo kwenye kitu nilichozoea
 
Baada ya kupata loss kidogo nikakaa benchi kujitafakari kidogo!

Nilichogundua:
1/ Hakuna biashara isiyokua na hasara.
2/ Hasara inapaswa kuichukulia kama changamoto na utafute solutions ulipokosea.
3/ Ukiwa mfanyabiashara kuna kupata na kukosa.
4/ Utulivu na uvumilivu unaitajika sana ili kupiga hatua.

Sasa wananzengo wenzangu wa forex nipeni moyo na ushauri nataka nitumie muda mwingi sana kusoma na kugoogle pamoja na kuangalia videos youtube ili niludi kivingine kwenye biashara yetu ya forex. Karibuni


Soma hicho kitabu....soma taratibuuuuu..neno kwa neno na kutafakari....kitakusaidia sana...
 

Attachments

  • the candlestick trading bible.pdf
    2.7 MB · Views: 29
Wengi wanaolia kupata loss ni wanavamia soko la forex bila kua Na proper education about forex market. Mimi nikiwa mmoja wao
Kwa hiyo mkuu dranx ,nianze kuingia darasani kuhusu hii ndude?. Niweke mtaji wa kiasi gani ili ni-trend bila wasiwasi? Au niingie kwanza darasani?
 
Back
Top Bottom