Kwa kifupi;
1. Matokeo ya urais kuruhusiwa kupingwa mahakamani.
2. Mfumo kuruhusu Mgombea binafsi.
3. Kuwepo kigezo cha 50 + 1 kwa mshindi.
4. Kuwe na uwakilishi sawa wa 50/50 kwa jinsia zote.
5. Jeshi la polisi kutoingilia shughuli za vyama vya siasa kabla, wakati na baada ya uchaguzi.
6. Tume ya uchaguzi iwe na watumishi wake.
7. Wakurugenzi wa Halmashauri wasiwe wasimamizi wa uchaguzi.
8. Mkurugenzi wa Uchaguzi, Mwenyekiti wa tume na Makamishina wapatikane kwa kuomba kazi ambazo zitatangazwa hadharani.
9. Uteuzi wa wajumbe wa tume uzingatie uwakilishi wa vyama vikubwa vya siasa, asasi za kiraia, taasisi za kidini na wanataaluma.
10. Kigezo cha kupita bila kupingwa kiondolewe.
11. Pamoja na kuzingatia jinsia jamii ya walemavu izingatiwe wakati wa uteuzi.
12. Mikutano ya vyama vya siasa ifanyike kwa usawa na nafasi ya Msajili wa vyama vya siasa itangazwe hadharani.
NB: Mimi naongeza 13. Atakayebainika kutangaza matokeo ya uongo ashitakiwe kwa makosa ya Uhujumu Uchumi, kwa sababu kalihujumu taifa zima lililotumia gharama kubwa kuandaa uchaguzi.
1. Matokeo ya urais kuruhusiwa kupingwa mahakamani.
2. Mfumo kuruhusu Mgombea binafsi.
3. Kuwepo kigezo cha 50 + 1 kwa mshindi.
4. Kuwe na uwakilishi sawa wa 50/50 kwa jinsia zote.
5. Jeshi la polisi kutoingilia shughuli za vyama vya siasa kabla, wakati na baada ya uchaguzi.
6. Tume ya uchaguzi iwe na watumishi wake.
7. Wakurugenzi wa Halmashauri wasiwe wasimamizi wa uchaguzi.
8. Mkurugenzi wa Uchaguzi, Mwenyekiti wa tume na Makamishina wapatikane kwa kuomba kazi ambazo zitatangazwa hadharani.
9. Uteuzi wa wajumbe wa tume uzingatie uwakilishi wa vyama vikubwa vya siasa, asasi za kiraia, taasisi za kidini na wanataaluma.
10. Kigezo cha kupita bila kupingwa kiondolewe.
11. Pamoja na kuzingatia jinsia jamii ya walemavu izingatiwe wakati wa uteuzi.
12. Mikutano ya vyama vya siasa ifanyike kwa usawa na nafasi ya Msajili wa vyama vya siasa itangazwe hadharani.
NB: Mimi naongeza 13. Atakayebainika kutangaza matokeo ya uongo ashitakiwe kwa makosa ya Uhujumu Uchumi, kwa sababu kalihujumu taifa zima lililotumia gharama kubwa kuandaa uchaguzi.