Wadau wapendekeza mambo 12 mabadiliko ya Mfumo wa Uchaguzi na Vyama vya Siasa

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Kwa kifupi;

1. Matokeo ya urais kuruhusiwa kupingwa mahakamani.

2. Mfumo kuruhusu Mgombea binafsi.

3. Kuwepo kigezo cha 50 + 1 kwa mshindi.

4. Kuwe na uwakilishi sawa wa 50/50 kwa jinsia zote.

5. Jeshi la polisi kutoingilia shughuli za vyama vya siasa kabla, wakati na baada ya uchaguzi.

6. Tume ya uchaguzi iwe na watumishi wake.

7. Wakurugenzi wa Halmashauri wasiwe wasimamizi wa uchaguzi.

8. Mkurugenzi wa Uchaguzi, Mwenyekiti wa tume na Makamishina wapatikane kwa kuomba kazi ambazo zitatangazwa hadharani.

9. Uteuzi wa wajumbe wa tume uzingatie uwakilishi wa vyama vikubwa vya siasa, asasi za kiraia, taasisi za kidini na wanataaluma.

10. Kigezo cha kupita bila kupingwa kiondolewe.

11. Pamoja na kuzingatia jinsia jamii ya walemavu izingatiwe wakati wa uteuzi.

12. Mikutano ya vyama vya siasa ifanyike kwa usawa na nafasi ya Msajili wa vyama vya siasa itangazwe hadharani.

NB:
Mimi naongeza 13. Atakayebainika kutangaza matokeo ya uongo ashitakiwe kwa makosa ya Uhujumu Uchumi, kwa sababu kalihujumu taifa zima lililotumia gharama kubwa kuandaa uchaguzi.
 
50/50 ndio nini? Hivi kuna nchi yoyote duniani ina 50/50, mmeona wapi? Iko wazi, wanawake wengi uwezo wao bado mdogo sana kuongoza, sasa nchi inataka maendeleo, 50/50 sioni maana yake, sio nawachukia wanawake, la harsha, ukweli uko hivyo, naturally most women uongozi hawawezi, sasa maendeleo yatatoka wapi.

Jamani, sielewi kama naeleweka, wanawake type ya Mama Samia ni 1 in 100 mil nasema kweli kabisa, na Mama Samia kajifunza mengi kwa JPM ndio maana amekuwa na uwezo mzuri.

Mm sioni hoja kabisa ya 50/50, na hakuna duniani mfano huo.
 
Wataotangaza matokeo kinyume na matokeo halisi washtakiwe ikibainika wafungwe, wataobainika kuharibu uchaguzi washtakiwe kwa kuwa watu hawa wote wanalipwa pesa kwa kazi yao, madhara ya kudhurumu haki ya wananchi ina madhara makubwa kwa miaka5 yote, nahakuna wakufidia hasara itokanayo namadhara hayo.
 
Kinga ya viongozi wa mihimili kutoshitakiwa mbona haipo.

Akishatangazwa kuwa mshindi utampeleka vipi mahakamani huku ana kinga.
 
50/50 ya kazi gani ,hapo Ni kugawana ulaji tuuuuuuuuuuuuuuuuuuu zaidi ya hapo,

Ni hakuna ufanisi wowote hapo Hawa watu si tunao makazini huku hawana jipya kabisa ,unavyomuona Samia huyo kapikika kwa magufuli lakini zaidi ya hapo hakuna kitu,siyo kwamba siwapendi wanawake la hasha!
 
wataotangaza matokeo kinyume na matokeo halisi washtakiwe ikibainika wafungwe, wataobainika kuharibu uchaguzi washtakiwe kwa kuwa watu hawa wote wanalipwa pesa kwa kazi yao, madhara ya kudhurumu haki ya wananchi inamadhara makubwa kwa miaka5 yote,nahakuna wakufidia hasara itokanayo namadhara hayo.
Sio kushitakiwa tu ikibidi wanyongwe kabisa.
 
Hiyo 50/50 yakazi gani

Hivi wanaume mnaojipendekeza kwa mambo ya kike mnajielewa kweli?

Mwanamke hatakiwi hata kuwa kiongozi wa familia leo mnawatweza..au ndio laana na siku za mwisho.
Dah, mimi nafikiri mwanamke aachwe apambane kwenye sanduku la kura na sio kupewa nafasi ya upendeleo.
 
Kwa kifupi;

1. Matokeo ya urais kuruhusiwa kupingwa mahakamani.

2. Mfumo kuruhusu Mgombea binafsi.

3. Kuwepo kigezo cha 50 + 1 kwa mshindi.

4. Kuwe na uwakilishi sawa wa 50/50 kwa jinsia zote.

5. Jeshi la polisi kutoingilia shughuli za vyama vya siasa kabla, wakati na baada ya uchaguzi.

6. Tume ya uchaguzi iwe na watumishi wake.

7. Wakurugenzi wa Halmashauri wasiwe wasimamizi wa uchaguzi.

8. Mkurugenzi wa Uchaguzi, Mwenyekiti wa tume na Makamishina wapatikane kwa kuomba kazi ambazo zitatangazwa hadharani.

9. Uteuzi wa wajumbe wa tume uzingatie uwakilishi wa vyama vikubwa vya siasa, asasi za kiraia, taasisi za kidini na wanataaluma.

10. Kigezo cha kupita bila kupingwa kiondolewe.

11. Pamoja na kuzingatia jinsia jamii ya walemavu izingatiwe wakati wa uteuzi.

12. Mikutano ya vyama vya siasa ifanyike kwa usawa na nafasi ya Msajili wa vyama vya siasa itangazwe hadharani.

NB: Mimi naongeza 13. Atakayebainika kutangaza matokeo ya uongo ashitakiwe kwa makosa ya Uhujumu Uchumi, kwa sababu kalihujumu taifa zima lililotumia gharama kubwa kuandaa uchaguzi.
Kati ya yote hapo ,hilo la mgombea binafsi halina tija ,litahitaji mabadiliko makubwa zaidi ya Katiba na sheria.
 
Kwa kifupi;

1. Matokeo ya urais kuruhusiwa kupingwa mahakamani.

2. Mfumo kuruhusu Mgombea binafsi.

3. Kuwepo kigezo cha 50 + 1 kwa mshindi.

4. Kuwe na uwakilishi sawa wa 50/50 kwa jinsia zote.

5. Jeshi la polisi kutoingilia shughuli za vyama vya siasa kabla, wakati na baada ya uchaguzi.

6. Tume ya uchaguzi iwe na watumishi wake.

7. Wakurugenzi wa Halmashauri wasiwe wasimamizi wa uchaguzi.

8. Mkurugenzi wa Uchaguzi, Mwenyekiti wa tume na Makamishina wapatikane kwa kuomba kazi ambazo zitatangazwa hadharani.

9. Uteuzi wa wajumbe wa tume uzingatie uwakilishi wa vyama vikubwa vya siasa, asasi za kiraia, taasisi za kidini na wanataaluma.

10. Kigezo cha kupita bila kupingwa kiondolewe.

11. Pamoja na kuzingatia jinsia jamii ya walemavu izingatiwe wakati wa uteuzi.

12. Mikutano ya vyama vya siasa ifanyike kwa usawa na nafasi ya Msajili wa vyama vya siasa itangazwe hadharani.

NB:
Mimi naongeza 13. Atakayebainika kutangaza matokeo ya uongo ashitakiwe kwa makosa ya Uhujumu Uchumi, kwa sababu kalihujumu taifa zima lililotumia gharama kubwa kuandaa uchaguzi.
14. Serikali isigharamie kampeni ya chama chochote cha siasa na iwe kosa kugharamia.
 
Kwa kifupi;

1. Matokeo ya urais kuruhusiwa kupingwa mahakamani.

2. Mfumo kuruhusu Mgombea binafsi.

3. Kuwepo kigezo cha 50 + 1 kwa mshindi.

4. Kuwe na uwakilishi sawa wa 50/50 kwa jinsia zote.

5. Jeshi la polisi kutoingilia shughuli za vyama vya siasa kabla, wakati na baada ya uchaguzi.

6. Tume ya uchaguzi iwe na watumishi wake.

7. Wakurugenzi wa Halmashauri wasiwe wasimamizi wa uchaguzi.

8. Mkurugenzi wa Uchaguzi, Mwenyekiti wa tume na Makamishina wapatikane kwa kuomba kazi ambazo zitatangazwa hadharani.

9. Uteuzi wa wajumbe wa tume uzingatie uwakilishi wa vyama vikubwa vya siasa, asasi za kiraia, taasisi za kidini na wanataaluma.

10. Kigezo cha kupita bila kupingwa kiondolewe.

11. Pamoja na kuzingatia jinsia jamii ya walemavu izingatiwe wakati wa uteuzi.

12. Mikutano ya vyama vya siasa ifanyike kwa usawa na nafasi ya Msajili wa vyama vya siasa itangazwe hadharani.

NB: Mimi naongeza 13. Atakayebainika kutangaza matokeo ya uongo ashitakiwe kwa makosa ya Uhujumu Uchumi, kwa sababu kalihujumu taifa zima lililotumia gharama kubwa kuandaa uchaguzi.
CCM watakuua
 
Kwa kifupi;

1. Matokeo ya urais kuruhusiwa kupingwa mahakamani.

2. Mfumo kuruhusu Mgombea binafsi.

3. Kuwepo kigezo cha 50 + 1 kwa mshindi.

4. Kuwe na uwakilishi sawa wa 50/50 kwa jinsia zote.

5. Jeshi la polisi kutoingilia shughuli za vyama vya siasa kabla, wakati na baada ya uchaguzi.

6. Tume ya uchaguzi iwe na watumishi wake.

7. Wakurugenzi wa Halmashauri wasiwe wasimamizi wa uchaguzi.

8. Mkurugenzi wa Uchaguzi, Mwenyekiti wa tume na Makamishina wapatikane kwa kuomba kazi ambazo zitatangazwa hadharani.

9. Uteuzi wa wajumbe wa tume uzingatie uwakilishi wa vyama vikubwa vya siasa, asasi za kiraia, taasisi za kidini na wanataaluma.

10. Kigezo cha kupita bila kupingwa kiondolewe.

11. Pamoja na kuzingatia jinsia jamii ya walemavu izingatiwe wakati wa uteuzi.

12. Mikutano ya vyama vya siasa ifanyike kwa usawa na nafasi ya Msajili wa vyama vya siasa itangazwe hadharani.

NB: Mimi naongeza 13. Atakayebainika kutangaza matokeo ya uongo ashitakiwe kwa makosa ya Uhujumu Uchumi, kwa sababu kalihujumu taifa zima lililotumia gharama kubwa kuandaa uchaguzi.
Hii namba 5 hapo kama ni kweli Mama Samia apewe pongeza sana
 
Hii namba 5 hapo kama ni kweli Mama Samia apewe pongeza sana
Samia apewe pongezi ya nini? Soma uelewe. Hayo ni mapendekezo kutoka kwa wananchi/wadau kwenda kikosi kazi alichokiunda Rais Samia.... Hata kupokelewa hayajapokelewa.

Sasa huyu Samia anapewaje pongezi. Mapendekezo siyo lazima yakubaliwe yote.

Soma heading taratibu na uelewe mkuu.
 
Ni ndoto kufikiri utapata Tume iliyo huru isiyoweza kuingiliwa na dola kwa kutumia katiba hii ya sasa.
 
Back
Top Bottom