Mkuu hiyo ni kwa aili ya vipimo vya kuingilia nchini.Lakini unawezaje kulipa ukapewa kikaratasi kama hicho? Mbona ukifika huko unakokwenda unatakiwa kuonesha certificate ya negative results sasa usipokuwa nayo unafanyaje? Unawapa hicho ki paid risiti?
Hapo lawama kwa nani sasa JPM au mbona hueleweki? Pili, kidole ulichokiruhusu kiende hewani pampoja na picha hiyo tayari kina 'expose' sura yako halisi kwa kutumia 'Imaging Synthesis of Human Anatomy' huu ni uzembe wa matumizi yasiyosahihi ya mitandao kwa kutumia utambulisho ghushiUshahidi wa tuhuma hizi huu hapa
View attachment 1789771
Hii ndio risiti unayopewa baada ya kulipia vipimo vya COVID 19 kwenye uwanja wa kimataifa .
Mungu ibariki Tanzania .
Kina kakoko,sabaya, bashite wanakwapua mabilioni na wanalindana awafanywi kitu, waachie nao wapate za brush Ili pesa ziongezeke mitaani tupate ajira.Tukale wapi
Ova
KILA mtu mpigaji kuanzia juu hadi housegirl ndani. Hawana uchungu kabisa na kodi zetuHii nchi ngumu Sana,
Ipo nchi zote ukiingiaMkuu hiyo ni kwa aili ya vipimo vya kuingilia nchini.
Wameintroduce rapid test ambazo lazima upime uwanja wa ndege hata kama imekuja na negative results.
Siyo kweli kwamba iko kwenye nchi zote. Hata kama ni hivyo kwa nini inavyanywa kwa wasafiri wanaopitia Airport peke yake. Vipi wale wanakuja kwa barabara....!!?Ipo nchi zote ukiingia
Wee nawe, huelewi tofauti ya risiti na certificate? Shule hizi shida Sana.Lakini unawezaje kulipa ukapewa kikaratasi kama hicho? Mbona ukifika huko unakokwenda unatakiwa kuonesha certificate ya negative results sasa usipokuwa nayo unafanyaje? Unawapa hicho ki paid risiti?
Too late ! unawaza kuteka watu badala ya kuhangaika na content kwa manufaa ya nchi yako , Very poor ! nimekudharau sana !Hapo lawama kwa nani sasa JPM au mbona hueleweki? Pili, kidole ulichokiruhusu kiende hewani pampoja na picha hiyo tayari kina 'expose' sura yako halisi kwa kutumia 'Imaging Synthesis of Human Anatomy' huu ni uzembe wa matumizi yasiyosahihi ya mitandao kwa kutumia utambulisho ghushi
Ushahidi wa tuhuma hizi huu hapa
View attachment 1789771
Hii ndio risiti unayopewa baada ya kulipia vipimo vya COVID 19 kwenye uwanja wa kimataifa .
Mungu ibariki Tanzania .
Unaweza kuonesha account zao zikiwa na mabilioni?Kama Magufuli alipinga ufisadi Sabaya na Kakoko wamekuwaje mabilionea ?
Ni fraternal twins🤣Usichanganye kati ya Chadema na ACT
Irudi mara ngapiHapa watu wanakula kilaini kabisa. Bila ukali nchi inaweza kurudi enzi za Kikwete.
Wewe tangu mwaka 2020 ulishasema umenidharau mbona unarudiarudia? Haya thibitishi risiti uliyoonesha ilitolewa JNIA, mhuri sio uthibitisho yeyote anaweza kuchonga. Haya maandishi ya 'Paid' yanathibitisha ni mwandiko wa nani hapo ambaye ni mfanyakazi wa JNIA? Hiyo risiti haina taarifa za mhimu kuwa 'relevant & admissible'.Too late ! unawaza kuteka watu badala ya kuhangaika na content kwa manufaa ya nchi yako , Very poor ! nimekudharau sana !
Mpaka anashauri kongamano la elimu kwamba elimu ya Tanzania ni mbovu...patheticIrudi mara ngapi
Sasa wewe hata hujawahi kutoka nje ya hicho chungu cheusi kinachoitwa Tanzania utajuaje haya mambo ?Wewe tangu mwaka 2020 ulishasema umenidharau mbona unarudiarudia? Haya thibitishi risiti uliyoonesha ilitolewa JNIA, mhuri sio uthibitisho yeyote anaweza kuchonga. Haya maandishi ya 'Paid' yanathibitisha ni mwandiko wa nani hapo ambaye ni mfanyakazi wa JNIA? Hiyo risiti haina taarifa za mhimu kuwa 'relevant & admissible'.
Kyela ndio nchi za nje kwako sio?Sasa wewe hata hujawahi kutoka nje ya hicho chungu cheusi kinachoitwa Tanzania utajuaje haya mambo ?
She’s so naive, anataka wazenji wapewe marks za bure, Rais asiyejua umuhimu wa biometric registration za sim card ni hasara kwa taifa.Mpaka anashauri kongamano la elimu kwamba elimu ya Tanzania ni mbovu...pathetic