Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,399
Walirudi tena nina kama mwezi Sjachek ila walirudishaae.tv mkataba wao na WWE uliisha!!....Wameshaanza kuonyesha tena?
Walirudi tena nina kama mwezi Sjachek ila walirudishaae.tv mkataba wao na WWE uliisha!!....Wameshaanza kuonyesha tena?
Hivi kuna tofauti gani ya wrestling ya zaman na ya Sasa...... Mbona wa kina CENA, Randy, undertake, Triple H, Kane.... Mbona bado wapo!!!!!! Na ni lazma waje Watu wapya....... Hata mpira wa Sasa hawachezi akina maradonaDah kweli WWE ilikuwa zaman
Kutana na mzee wa ndevu nyeupe-Hulk Hogan,Boker T, D generation X-Shawn Michaels na HHH,Cut angle, Cutting Edge,The Hardis-Jeff na Matt,the undertaker,big show,omaga(rip),Kane,Bobby lashley(nlimkubali sana huyu jamaa),aloo kale ni kale.
Kutana na Mzee wa misifa McMahon.
Hayawi hayawi hstimae yakawa..... Wako wapi wale waliosema Mitz hampigi Roman Reign......Mitz ni very coward person na ni muoga sana,hawezi tena kupata ule mkanda!.....Huwa anavizia siku Roman Reign amepigwa na mtu mwingine kisha anakuja kumshambulia in coward way!!
Jamaa ana janja janja sana ndo maanaNdo nachek mkuu....... Wadau walisema metz hampig roman Reign, ila naona mzee baba kala kichapo heavy
Mbona hata kwa facebook unaona live mkuu..... Tafuta wwe. FacebookNitumie njia gani niweze kufuatilia hizi mechi kwakutumia simu ya iPhone wakuu?
install apk inayoitwa redboxtv hakika utakuwa unaangalia live kila siku!!Nitumie njia gani niweze kufuatilia hizi mechi kwakutumia simu ya iPhone wakuu?
install apk inayoitwa redboxtv hakika utakuwa unaangalia live kila siku!!