Baba Mtakatifu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,324
- 2,435
- Thread starter
- #41
Ila Shane Mc Mahon kawafanyia uhuni Kelvin Ownes na mwenzie..... Hawata sahau
Daaah...... Sjajua kwa startimes ila naamini itakwepo..... Ngoja wadau wajeAu wote humu mna dstv tena chumbani?
TIZAMA ZILIKUWA MECH NYINGI NENDA YOUTUBE UTAONAMmmm mbona sjaona hiyo mkuu...... Brown Stromen akapigwa na Brock Lesnar........ Amazing
TIZAMA ZILIKUWA MECH NYINGI NENDA YOUTUBE UTAONA
Nimeiona Mkuu..... Ilikuwa jana Stromen akapigwa ka mtoto....... Kumbe Brock Lesnar anaeza wazibua wote stromen na KenTIZAMA ZILIKUWA MECH NYINGI NENDA YOUTUBE UTAONA
Siku hizi imekua ya kichumba tu,ni Entertainment mwanzo mwisho.mieleka ya ckuiz haina mvuto km zamani bana....watu wengi umu mmeanza kuifuatilia Itv.....mieleka kali ilikua kpnd iko inaoneshwa DtV dah aise wakna hulk hogan...shawn michaels ,under taker,flair.....awa wakna john cena wamekuja kpnd cha juz juz tu
Ila undertaker bado yupo.Siku hizi imekua ya kichumba tu,ni Entertainment mwanzo mwisho.
Siku hizi hata mechi za tables,chairs,ladders sijui zile hell in cell hazina mvuto kabisa,damu haimwagiki ipasavyo
Startimes wanaonesha E-TV ila sio liveDaaah...... Sjajua kwa startimes ila naamini itakwepo..... Ngoja wadau waje
Dstv kuanzia SAA 2 usikuMnangalia kupitia channel, king'amuzi, siku na mda gani wakuu!
Wadau leo tupeane dondoo za Monday night
Kipindi hicho aiseee, Lex, Flair, Undertaker, Goldberg,...n.k
Triple H, Batista, ......Bob Lashley, n.k
Cena, Orton....., Hardy, 69, n.k
Nawaona ona tu hawa wa sasa....!
Ndiyo.Hivi Kevin Ownes kashawahi kumpiga Cena???? Naona wenye iyo video anamuoshea
Ktk wrestling finishing styles kaliIla mi Roman Reigns simkubali kabisa..... Ile staili yake ya finishing na ngumi wala haina mvuto