Baba Mtakatifu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,324
- 2,435
- Thread starter
- #21
Mi naangalizia Super sport mkuu..... Sjui Wengine wanaangalizia wapiMnangalia kupitia channel, king'amuzi, siku na mda gani wakuu!
Mi naangalizia Super sport mkuu..... Sjui Wengine wanaangalizia wapiMnangalia kupitia channel, king'amuzi, siku na mda gani wakuu!
Kuna jamaa alikuwa anaitwa Alex Luger.... Unampata mdau?Yale mateke ya Shawn Michael hayakuwa ya dunia hii!!....hadi nilikuwa nayaota usiku!!
Siku gani?Mi naangalizia Super sport mkuu..... Sjui Wengine wanaangalizia wapi
Kipindi hicho aiseee, Lex, Flair, Undertaker, Goldberg,...n.kYale mateke ya Shawn Michael hayakuwa ya dunia hii!!....hadi nilikuwa nayaota usiku!!
DSTV Chanel [HASHTAG]#210[/HASHTAG] hata saivi kuna smackdown highlights.Mnangalia kupitia channel, king'amuzi, siku na mda gani wakuu!
hivi ile finishing style ya Finn balor ya kumrukia opponent kifuani inaruhusiwa kweli??.....Alimrukia Seth rollins juzi yaani Seth rolinns alilia kama mtoto!!Kwenye mpambano na akina Finn balor huyu kijana wa Kurt angle Jason Jordan sikumuelwa ni kama alitaka Seth rolinns apigwe na Finn balor
Kale kajamaa kadaliti asee...... Alafu skapendi kanajifanya kanajua..... Unajua nn kanalzimisha kujiunga na kina Roman lakini hawakitak. .Kwenye mpambano na akina Finn balor huyu kijana wa Kurt angle Jason Jordan sikumuelwa ni kama alitaka Seth rolinns apigwe na Finn balor
Ile hairuhusiwi mzee..... Maana vile unaeza ukaua..... Ila ye alichukulia advantage refa alikuwa bize na mambo mengine...... Ila mi nilifurahi sana waliposhindahivi ile finishing style ya Finn balor ya kumrukia opponent kifuani inaruhusiwa kweli??.....Alimrukia Seth rollins juzi yaani Seth rolinns alilia kama mtoto!!
Haha hah ha Mysterio..... Ila jamaa pumzi hana...... Alafu hana finishing ya uhakikaRoman Reigns ni hadithi nyingine
The mitz ndo the miz au ni watu wawili tofauti?sijacheck wwe kitamboSasa hivi amerudi The Mitz....... Anataka mkanda wake...... Sa sjui atamuweza Roman Reigns????
Inakubalika ndo maana anaichezahivi ile finishing style ya Finn balor ya kumrukia opponent kifuani inaruhusiwa kweli??.....Alimrukia Seth rollins juzi yaani Seth rolinns alilia kama mtoto!!
Mmmm mbona sjaona hiyo mkuu...... Brown Stromen akapigwa na Brock Lesnar........ Amazingtarehe 10 january 2018 ilikuwa brock lesnar na Braun strowman . kapigwa strowman kama mliona
Star times ni namba ngapi?Kama kawaida wakuu...... Na wadau wote ambao tunapenda kufatilia wrestling hasahasa WWE ambapo mwaka huu inatimiza miaka 25 tangu ilipo anzishwa...
Uzi huu ni maalum kwa ajili ya kupeana updates za kinachoendelea katika ulingo huu murua wa wrestling....
Bila kupoteza muda najua wadau wote wa WWE tuna subiri kwa hamu siku ya jumapili tar 25 Jan 2018 pale tutaposhuhudia msimu wa 31 wa Royal Rumble 2018.
Msimu huu utakuwa wa aina yake kwani kwa mara ya kwanza Katika historia ya WWE kutakuwa na Royal Rumble ya kina Dada...
Haraka haraka nikudokeze kuwa Royal rumble ya msimu huu itahusisha wanaume 11 Na wanawake 18.
Miongini mwao kutana na Bingwa wa Royal rumble mara moja JOHN CENA ,
Wengine ni Bingwa Mara mbili wa Royal rumble na pia ndo anatetea taji lake alilotoa mwaka Jana Randy Orton, kuna akina shinsuke Nakamura, Brock Lesnar, Samoa Joe, Matty hard, Elias na Wengine wengi.
Upande wa kina Dada kutana na mwanadada machachari ambae kupigwa kwake ni vigumu mmno si mwingine bali ni mjapani Asuke, pia kuna akina Natalia, Naomi, Carmela na Wengine kibao....
Baadhi ya mapambano yenye mvuto siku hiyo ni lile litakalo wakutanisha Brock Lesnar akipambana na Brownstromen na Kane... ..kama tulivyoona wiki hii Brown stromen aliwaangushia jukwaa kubwa la ngazi za chuma Kane na mwenzie Brock Lesnar kupelekea kupandishwa kwenye ambulance wakiwa hawajitambui......
Swali ni je Brock Lesnar atawapiga Kane na Brown stromen.... Stay tuned.........
Pia kuna wale jamaa wasio patana miaka yote.... Kevin Ownes na mwenzie akipambana na AJ Styles, tumeshuhudia mwezi huu AJ Styles kupigwa na kila mmoja wao...... Lakini akalalamika kuwa amekuwa akionewa kwani wamekuwa wakimchangia.... Hii ikapelekea meneja awapangie pambano siku ya jumapili... Sasa je itakuwajeeeee..... Utamu huo......
Haya karibuni wadau Wengine tuliendeleze jukwaa letu hili la wreath..... View attachment 675501
View attachment 675502