senator
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 1,924
- 66
Nimekuwa nikifwatilia kwa karibu sana hii michezo ya mielekea kupitia vituo vyetu vya kizawa na vile vya nje kama DSTV kuona hii mieleka.Nachotaka kujua kwenye Wrestring either iwe Smackdown,raw au ECW..je kuna ukweli wowote katika kule kupigana au kuna exaggeration inafanyika,ile damu mtu anayotoka ni kweli kwa kichapo au wanawekewa damu kama za kwenye movies??...sometimes kwnye hii TNA( total non stop Action) ndo kabisa sipati picha kama wanaumiza vile kisa ni mchezo?na je wanalipwaje hawa watu..sijawa na details zao za kimalipo...
Kwa mdau wa mchezo huu mwenye details naomba kupata ufahamu zaidi
Wabeja sanaa..
Kwa mdau wa mchezo huu mwenye details naomba kupata ufahamu zaidi
Wabeja sanaa..