NCAA/TANAPA kwisha habari yao mkuu.Mkuu Cvez kwa NCAA na TANAPA naona anguko kubwa sana, hawa jamaa kwa miaka mingi fujo zao za pesa zimetokana na ukusanyaji wao wa pesa kupitia shughuli za utalii ukizingatia asilimia zaidi ya tisini utalii wa nchi hii unategemea wanyamapori basi iliwapa nguvu kubwa sana, hili la kucentralize ukusanyaji kwenda TRA then hazina utawanyima fursa nyingi za upikaji hawa jamaa, nadhani serikali iliona vurugu zile za pesa zilizofanywa na "machief", nawaza tu maisha baada ya hilo, kwa wazee wa game TAWA hili ni pigo jingine kubwa baada ya lile la kupokonywa maeneo yao muhimu ya upigaji pale Serous.
In a long run unadhani huu uamuzi utachingia kuongezeka kwa mapato na ufanisi wa sekta yetu?Mkuu Cvez kwa NCAA na TANAPA naona anguko kubwa sana, hawa jamaa kwa miaka mingi fujo zao za pesa zimetokana na ukusanyaji wao wa pesa kupitia shughuli za utalii ukizingatia asilimia zaidi ya tisini utalii wa nchi hii unategemea wanyamapori basi iliwapa nguvu kubwa sana, hili la kucentralize ukusanyaji kwenda TRA then hazina utawanyima fursa nyingi za upikaji hawa jamaa, nadhani serikali iliona vurugu zile za pesa zilizofanywa na "machief", nawaza tu maisha baada ya hilo, kwa wazee wa game TAWA hili ni pigo jingine kubwa baada ya lile la kupokonywa maeneo yao muhimu ya upigaji pale Serous.
Ngoja nikuulize swali mkuu, hizi halmashauri zilivyonyanganywa vyanzo vyao vya mapato kama vile ushuru wa mabango na vyanzo vinginevyo na pesa hio kukusanywa huko TRA unaona ufanisi umeongezeka au la?In a long run unadhani huu uamuzi utachingia kuongezeka kwa mapato na ufanisi wa sekta yetu?
NCAA/TANAPA kwisha habari yao mkuu.
Mapato yameongezeka kiasi kutokana na takwimu za serikali.Ngoja nikuulize swali mkuu,hizi halmashauri zilivyonyanganywa vyanzo vyao vya mapato kama vile ushuru wa mabango na vyanzo vinginevyo na pesa hio kukusanywa huko TRA unaona ufanisi umeongezeka au la?
Kweli mkuu na nadhani soon uwaziri wa Maliasili unaenda kua sio big deal tena.Hili lilionekana muda sana mkuu hasa kwa NCAA lile swala la kutumia Billions kama bajeti kwenye vikao vyao kwa mwaka "mkulu" halikumfurahisha kabisa.
hapo nilipo underline ndipo na mimi sijapaelewa sawa sawa,maana kwa mfano huko halmashauri kwa sasa hali zao ni tete,kujitegemea haiwezekani,sasa ni kuomba tu pesa kutoka serikali kuu.Mapato yameongezeka kiasi kutokana na takwimu za serikali.
Ila hii issue is a bit complicated and I can't come with a precise answer. Kwanza I acknowledge kulikua kuna matumizi mabaya ya fedha kwa hizi taasisi.
Secondly, serikali imefanya vizuri kucontrol mapato but doubt yangu ni kua did they did for right reasons au wameona ni sehemu ya kupata pesa za chapchap kwa shughuli zao za kisiasa.
Cause if they are not careful wanaweza kupoteza hadi hiki wanachokipata. So now only questionable thing ni intention ya serikali itakua na positive outcome.!!!
Kuongezeka kwa mapato, YES i'm sure hundred % hapa TRA wamehit the Jackpot naona sasa ile 25% ya pato litokanalo na utalii litaongezeka zaidi ya hapo in the near future, najua unajua jinsi gani hii sekta ilivyo na pesa nyingi ambazo kwa asilimia kubwa zinaishia kwa sekta binafsi "big boys" , lakini kwa uamuzi huu naona sasa serikali yetu inaenda kufaidika moja kwa moja na vivutio vyake.In a long run unadhani huu uamuzi utachingia kuongezeka kwa mapato na ufanisi wa sekta yetu?
👊🏻👊🏻👊🏻Ngoja nikuulize swali mkuu,hizi halmashauri zilivyonyanganywa vyanzo vyao vya mapato kama vile ushuru wa mabango na vyanzo vinginevyo na pesa hio kukusanywa huko TRA unaona ufanisi umeongezeka au la?
Let's wait and seehapo nilipo underline ndipo na mimi sijapaelewa sawa sawa,maana kwa mfano huko halmashauri kwa sasa hali zao ni tete,kujitegemea haiwezekani,sasa ni kuomba tu pesa kutoka serikali kuu.
Ila kwa mtizamo wangu Centralization tija yake ni ndogo kukinganisha na decentralization.
Unataka kusema nini mkuu 😂😂,Kweli mkuu na nadhani soon uwaziri wa Maliasili unaenda kua sio big deal tena.
Huo wasi wasi ni wa msingi. Binafsi sioni Mazingira mazuri ya kutuepusha na wasi wasi huo. Upotevu wa pesa unachagizwa na top layer za sekta hii... Je haziwezi shughulikiwa?Kuongezeka kwa mapato, YES i'm sure hundred % hapa TRA wamehit the Jackpot naona sasa ile 25% ya pato litokanalo na utalii litaongezeka zaidi ya hapo in the near future, najua unajua jinsi gani hii sekta ilivyo na pesa nyingi ambazo kwa asilimia kubwa zinaishia kwa sekta binafsi "big boys" , lakini kwa uamuzi huu naona sasa serikali yetu inaenda kufaidika moja kwa moja na vivutio vyake.
Speaking of ufanisi hapa napata ukakasi wale wazee wa Tanapa na NCAA kuwaondolea hii nafasi ya upigaji ile morali ya kazi sidhani kama itakuwa kama awali hasa hawa watumishi wa ngazi za chini, ngoja tujipe muda lakini sioni morali ile iliyokuwepo kwa vijana wa NCAA pale mjini manyara 😂kama itaendelea kuwepo.
Hahah mzee wa ku-think out of the box soon itabidi a-think out of the box kweli kweli.Unataka kusema nini mkuu 😂😂,
ah' serous kweli?Mkuu Cvez kwa NCAA na TANAPA naona anguko kubwa sana, hawa jamaa kwa miaka mingi fujo zao za pesa zimetokana na ukusanyaji wao wa pesa kupitia shughuli za utalii ukizingatia asilimia zaidi ya tisini utalii wa nchi hii unategemea wanyamapori basi iliwapa nguvu kubwa sana, hili la kucentralize ukusanyaji kwenda TRA then hazina utawanyima fursa nyingi za upikaji hawa jamaa, nadhani serikali iliona vurugu zile za pesa zilizofanywa na "machief", nawaza tu maisha baada ya hilo, kwa wazee wa game TAWA hili ni pigo jingine kubwa baada ya lile la kupokonywa maeneo yao muhimu ya upigaji pale Serous.