Wale wahispania wameshindwa kazi ama wameamua kuongeza nguvu zaidiMshauri wa maswala ya utawala katika soka kuelekea kwenye mabadiliko.
Jana nimeona babalevo nae kapewa mkataba sijui atakuwa nan au labda mchekeshaji wa dar young afrika
Wale wahispania wameshindwa kazi ama wameamua kuongeza nguvu zaidi
Mimi pia niliuliza hapa,SENZO alikuwa CEO wa Simba Sports Club na sasa amehamia Yanga (Dar Young African). Napenda kujua kule amekuwa nani, Katibu Mkuu, Mwenye Kiti, au nani. Hili swali ni kwa sababu Yanga bado wanatumia mfumo wa zamani hawana CEO. Naomba mnieleweshe. View attachment 1546061
Kikubwa elewa tu kashindwa kufanya kazi na watu wa magumashi. Janjajanja nyingi za kubebwa na Tifuatifua.SENZO alikuwa CEO wa Simba Sports Club na sasa amehamia Yanga (Dar Young African). Napenda kujua kule amekuwa nani, Katibu Mkuu, Mwenye Kiti, au nani. Hili swali ni kwa sababu Yanga bado wanatumia mfumo wa zamani hawana CEO. Naomba mnieleweshe. View attachment 1546061
Huko ni mshauri mwelekezi wa namna ya kuijenga upya yanga ili iwe katika mfumo wa kisasa.SENZO alikuwa CEO wa Simba Sports Club na sasa amehamia Yanga (Dar Young African). Napenda kujua kule amekuwa nani, Katibu Mkuu, Mwenye Kiti, au nani. Hili swali ni kwa sababu Yanga bado wanatumia mfumo wa zamani hawana CEO. Naomba mnieleweshe. View attachment 1546061