Baba Mtakatifu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,324
- 2,435
- Thread starter
- #861
Kwan WRESTLEMANIA ni baada ya kila muda gani?Maana undertaker ni babu saa hv hayuko physical fit. Ndo maana akaja siku ya mwisho kabisa. Maana mikiki ya kurushana kwenye meza haiwezi tena. Na sina uhakika kama utakuwepo next wreslemania. John mwenyewe soon anaishia kwenye movie mazima. Maana wwe yuko part time zaidi