Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,628
Umeneja ndo basi tena?Alichofanyiwa baron corbin kinatia huruma!....but he deserve it!
Umeneja ndo basi tena?Alichofanyiwa baron corbin kinatia huruma!....but he deserve it!
Jazia nyama kidogo basi, wengine huwa tunaona baada ya siku mbili kupita. Jamaa kachezea kichapo ama?Alichofanyiwa baron corbin kinatia huruma!....but he deserve it!
i am in love na Naomi, ule mtindi wake ule ni matataNipo namuangalia NATALIA hapa ni kazuri alafu kanajiheshimu
Achana na TLC huwa kunakuwaga na mechi ambayo kufa na kupona na fensi ya senyenge juu hakuna kutoka ile ni kibokoTLC ni kuuana
Umeneja ndiyo basi tena,ila leo kwenye monday night raw mzee baba-Vince Mcmahon atakuja kushake things up ila haijulikani kama atamrudisha Corbin kwenye umeneja au laa!!Umeneja ndo basi tena?
Kichapo cha mbwa koko!Jazia nyama kidogo basi, wengine huwa tunaona baada ya siku mbili kupita. Jamaa kachezea kichapo ama?
Mkuu, samahani, marudio ya TLC ni saa ngapi Dstv?Hivi ile finishing ya finn balor huwa inakuwaje haiui mtu?What is the trick behind?
Nadhani sa mbili kamili bossMkuu, samahani, marudio ya TLC ni saa ngapi Dstv?
Lengo lako ni nini?Kweli kuamini mieleka ni mchezo Wa ukweli ni ujuha. Yaani huyu baron cobbin ndo amepoteza nafasi yake kwa maigizo ya namba hii. Mchezo hauna hata sheria? Stuka we kilaza
Ungekuwa siyo kilaza usingekomenti.Lengo lako ni nini?
Afu uwe unamwambia jamaa anakazia mapema kabla hajakesha kutazama hzo burudani
Naona hujui hata mana ya wrestling entertainment
Yale mateke anavyo kurukia.. Unaweza ktk centerHivi ile finishing ya finn balor huwa inakuwaje haiui mtu?What is the trick behind?
Kaanzishe uzi wako wa wrestling is fake..Kweli kuamini mieleka ni mchezo Wa ukweli ni ujuha. Yaani huyu baron cobbin ndo amepoteza nafasi yake kwa maigizo ya namba hii. Mchezo hauna hata sheria? Stuka we kilaza
Sasa uko humu kwa uzi wa vilaza unafanya nini?!Ungekuwa siyo kilaza usingekomenti.
We pita hivi tutolee boboKaanzishe uzi wako wa wrestling is fake..
sorry jamaa mim nilikuwa namtukana yule jamaa kilazaWe pita hivi tutolee bobo
Sijakuelewa mkuu!Yale mateke anavyo kurukia.. Unaweza ktk center