Kiwangwa Son
Senior Member
- Nov 29, 2018
- 178
- 115
Habari ya muda huu wakuu,
Kama kichwa kinavyojieleza mimi ni mwanafunzi nipo chuo fulani hapa nchini kwa sasa nipo mwaka wa nne nasomea ufamasia.
Kutokana nipo chuo cha private na mkopo nilibahatika kupata asilimia mia moja(100%)
Hivyo nimepiga calculations nimeona kwa miaka miaka minne niliyosoma hapa chuoni nitakuwa nadaiwa sio chini ya millioni ishirini na tatu (23).
Lengo la kuja kwenu nilikua nahitaji wajuzi na wahanga wengine mjaribu kutoa uzoefu wenu .
Je, kwa madeni makubwa kama haya marejesho yake huwa yanadumu kwa muda gani?
Je, kama najiajiri au naajiriwa miaka kumi(10) itatosha kumaliza deni na kuendelea na maisha yangu binafsi?
Ahsante karibuni.
Kama kichwa kinavyojieleza mimi ni mwanafunzi nipo chuo fulani hapa nchini kwa sasa nipo mwaka wa nne nasomea ufamasia.
Kutokana nipo chuo cha private na mkopo nilibahatika kupata asilimia mia moja(100%)
Hivyo nimepiga calculations nimeona kwa miaka miaka minne niliyosoma hapa chuoni nitakuwa nadaiwa sio chini ya millioni ishirini na tatu (23).
Lengo la kuja kwenu nilikua nahitaji wajuzi na wahanga wengine mjaribu kutoa uzoefu wenu .
Je, kwa madeni makubwa kama haya marejesho yake huwa yanadumu kwa muda gani?
Je, kama najiajiri au naajiriwa miaka kumi(10) itatosha kumaliza deni na kuendelea na maisha yangu binafsi?
Ahsante karibuni.