Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,861
- 31,887
naona ameanza kujisogeza taratibu! Amesahau kilichompata Erickb52 huko mwz!
Ye muache tu.
naona ameanza kujisogeza taratibu! Amesahau kilichompata Erickb52 huko mwz!
Ye muache tu.
nitaku pm maana nikiiandika hapa wananifata wengi sana! Akina sweetlady hawata niachia na ndoa itakuwa mashakani! Lol...
Ina maana Sweetlady alikuwa mgombea mwenza?
Hehehehe......mie pia nasubiria PM
Wakudanganya ntakuwa mimi! Umesahau ahadi zako JK type! Lol...
hah hah hah hah haaa!!! Mbavu zangu.........!
Sasa hivi nimejirekebisha kwa hasira ya kunifananisha na huyo mtu
Too late! marejesho is by side. "nao hawatakuwa wawili tena!" lol...
Hahahahah haiwezekani lol
:A S-coffee:....
:A S-coffee:....