Japhari Shabani (RIP)
R I P
- Jan 16, 2007
- 721
- 176
Katibu ya kampeni Kinana alituahidi mdahalo wa JK baada ya uchaguzi Je utafanyika?Atazungumzia nini?Kutangaza matokeo ya uchaguziiii?Kuomba msamaha kwa Watanzania kwa alikotufikisha?Kubatilisha uchaguzi na kutangaza hali ya hatari??????????Wadau kwa anaejua kuhusu the so called Mdahalo wa JK tufahamisheni.MUNGU IBARIKI TANZANIA