Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,057
- 74,465
Nakumbuka ilikuwa nikiingia kwenye mashamba ya watu kuiba nazi, nilikuwa nazifua kwa meno!!Hiki kitu tulikua tunakitafuna moja kwa moja kutoka shambani, sio kama siku hizi lazima kisu kihusike....
Sent using Jamii Forums mobile app