zema21
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 619
- 251
Kuna msichana mmoja nilifahamiana nae mwaka jana! tukaingia kwenye mahusiano lakini niliogopa manake alionyesha kuniamini saana! na akawa tayari kwa lolote ilihali tumefahamiana nae ndani ya muda mfupi! wala hajapata hata muda wa kunisoma kujua jinsi nilivyo pamoja na tabia zangu! yaani alikuwa na kasi mno mpaka ikanitisha,kwa kweli nilikataa hata ku-do naye kila alipotaka nilimpiga chenga. nikaamua kuachana nae manake niliogopa ile kasi yake manake alijiweka very cheap.
nilipotezea toka mwaka jana mwezi wa saba mpaka mwaka huu nikamtafuata nilikutana nae nikapiga nae stori sana akaniambia ana bf wanataka waoane mwakani mwezi December na wameshatambulishana nyumbani! ila huyo Bf wake yupo mkoa tofauti na yeye! lakini cha ajabu dada yule anapenda sana kampani yangu! mara wikiend nyingi anataka tutoke wote outing! Juzi nimejaribu kumpima nikamwambia tuka do! kilichonishangaza she agrees with me! pasipo hata kipingamizi chochote! Yaani yupo tayari kumsaliti huyo Bf wake! Nilishangaa japo sikumwambia kitu chochote!
Wana MMU naombeni mnambie hivi mambo ndivyo yalivyo hivi au nimwelewe vp huyu rafiki yangu? au ana maradhi anataka kuyasambaza?
nilipotezea toka mwaka jana mwezi wa saba mpaka mwaka huu nikamtafuata nilikutana nae nikapiga nae stori sana akaniambia ana bf wanataka waoane mwakani mwezi December na wameshatambulishana nyumbani! ila huyo Bf wake yupo mkoa tofauti na yeye! lakini cha ajabu dada yule anapenda sana kampani yangu! mara wikiend nyingi anataka tutoke wote outing! Juzi nimejaribu kumpima nikamwambia tuka do! kilichonishangaza she agrees with me! pasipo hata kipingamizi chochote! Yaani yupo tayari kumsaliti huyo Bf wake! Nilishangaa japo sikumwambia kitu chochote!
Wana MMU naombeni mnambie hivi mambo ndivyo yalivyo hivi au nimwelewe vp huyu rafiki yangu? au ana maradhi anataka kuyasambaza?