kaka utafiti wako una ukwel ndan yake, coz hata jana wabunge walipokuwa wakichagua wajumbe wa sadc, nligundua hata lugha ya kigen ilikuwa haipandi kwa baadh ya wabunge.
Sema kwa kifupi "Hana Elimu".
mh,john komba na ba ya politics kutoka washington int univesity mwaka 2006 hadi 2008 .hii ni kwa mujibu wa site ya bunge
Haya, kwa wabunge wa CHADEMA unahitajika kuwa na elimu ya kiwango gani?Kuwa mbunge kupitia chadema lazima uwe na elimu ila kwa kupitia CCM kama unajua tu kusoma na kuandika kidogo unaruhusiwa kuwepo bungeni ili mradi unauwezo wa kutamka ndiyoooooooooo na kupiga meza kesha unasinzia
NinaWasi2 na ufahamu wa mambo wa komba unaotokana na kiwango chake cha elimu mbunge wa jimbo mbinga magharibi. je komba katamati kiwango kipi cha elimu? au alipitia ugambo then kaingia jkt kutokana na jipaji chake cha kuimba? nisaidieni kwa mnaofahamu, kuna harakati za kumngoa kule jimboni kwetu.
Mimi ni mtoto wa kaka yake wa kwanza,alipita mafunzo ya ualimu grd C,Ila alikuwa ni mwimbaji mzuri hata kule kanisani,ndiyo maana akapelekwa jeshini akaimbe.Bungeni kule si mnaona wenyewe,Wassira type,USNGIZI SANAAA,Hoja kidogo.
​Huyo ndo Kamanda Komba Bwana unachezeya MACCM Weye!!!!!!!!!!!!!!
NinaWasi2 na ufahamu wa mambo wa komba unaotokana na kiwango chake cha elimu mbunge wa jimbo mbinga magharibi. je komba katamati kiwango kipi cha elimu? au alipitia ugambo then kaingia jkt kutokana na jipaji chake cha kuimba? nisaidieni kwa mnaofahamu, kuna harakati za kumngoa kule jimboni kwetu.