Yuyo Ahumile Shamalendi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2018
- 993
- 782
Nawasalimu wote wazima? Natumaini mtakua wazima wa afya njema, niende moja kwa moja kwenye mada.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, nimekuja kwenye jiji lenu kwaajili ya kazi fulani ila sasa hio kazi itaanza kufanyika mwezi ujao kwa hio hapa nipo tu sina kazi yoyote nawaomba mnipe japo kibarua cha kujishikiza kwa muda huo ambao nitakua free, sihitaji maslahi makubwa ni we mwenyewe utakua unanifikiria tu kwani sijazoea kukaa bila kazi.
Nawasilisha.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, nimekuja kwenye jiji lenu kwaajili ya kazi fulani ila sasa hio kazi itaanza kufanyika mwezi ujao kwa hio hapa nipo tu sina kazi yoyote nawaomba mnipe japo kibarua cha kujishikiza kwa muda huo ambao nitakua free, sihitaji maslahi makubwa ni we mwenyewe utakua unanifikiria tu kwani sijazoea kukaa bila kazi.
Nawasilisha.