YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,910
- 51,904
Hataki kuolewaMuozeshe
Hataki kuolewaMuozeshe
Ndio kazi yangu, ndio maana nam encourage aisomee, ina hela sana mkuuKama atajiajiri Kama mama ntilie ajira hamna
walaykum salaam, kushindwa kufanya kitu fulani vizuri ndio kujifunza...mwanao kiumri anahitaji kuelimika.ila kama wazo lako ni ajira na kipato (ingawa duniani vipato vya haraka vinamatatizo) , Ajira anaweza kujiajiri mwenyewe, kipato ni matokeo ya kujituma kwa hali ya juu. Kitu cha kufanya mwangalie anapenda kufanya shughuli gani sana? hiyo ndio ya kuifanyia kazi, na la mwisho ajifunze elimu ya ujasiliamaliWapendwa wasalaam.
Binti yangu aliyemaliza Form 4 na hakufanikiwa kuendelea na vidato. Ninaomba ushauri wa kozi kama ni ufundi au chochote ambacho kitampa ajira na kipato kwa haraka. Natanguliza shukrani.
Aanze certificate aidha nursing au pharmacyWapendwa wasalaam.
Binti yangu aliyemaliza Form 4 na hakufanikiwa kuendelea na vidato. Ninaomba ushauri wa kozi kama ni ufundi au chochote ambacho kitampa ajira na kipato kwa haraka. Natanguliza shukrani.
Sofa anazo ? Pharmacy kazi zipo nyingi.IAanze certificate aidha nursing au pharmacy
Mafundi ya vitendo akafanyie kwa Fundi MaikoKuna veta huko wanafundisha :
1- mafundi ujenzi
2- mafundi magari
3- mafundi rangi wa nyumba
4- cherehani afu ukamfungulia garment mkuu.
Yaani mtafiti kwanza anapenda kufanya nini.
Maisha huwa yamo ama yanapatikana kwa kufanya unachokipenda mkuu ila sio cha kushauriwa. Ni sawa na mapenzi oa unayempenda ila siye aliyependwa na wazazi,marafiki,ndugu zako
Pass mark zake ni sawa na za Form VAanze certificate aidha nursing au pharmacy
Kuna wajerumani Fulani wana chuo kipo Arusha na dar kinaitwa GOETHE.DE mkuu wacheki.pia kwa Arusha utapata chuo hata cha Spanish Nina imani.Mkuu Keisangora, nimependa hiyo foreign language. Unaweza kunisaidia chuo kinachotoa kozi hiyo?
Kasoma mchepuo gani ?Wapendwa wasalaam.
Binti yangu aliyemaliza Form 4 na hakufanikiwa kuendelea na vidato. Ninaomba ushauri wa kozi kama ni ufundi au chochote ambacho kitampa ajira na kipato kwa haraka. Natanguliza shukrani.
Pamoja sana kiongoziMidwifery ni taaluma
Midwife ndio Mkunga
Sorry Dr
Duh mkuu nashukuru sana. Ngoja nianzia CoSS Maana nimefanya nao kazi piaKuna wajerumani Fulani wana chuo kipo Arusha na dar kinaitwa GOETHE.DE mkuu wacheki.pia kwa Arusha utapata chuo hata cha Spanish Nina imani.
Kama Russian language Ukienda Tanzania-Russian Cultural centre utapata Huduma iyo.pia kama ni Danish,Norwegian&Swedish language Ukienda dar kama unaenda IST wana shule zao za Nordic countries uwaulizie. Kuna Mdada mmoja pale ni mchaga wanafundisha shuleni hapo ila yeye anakula Swedish mkuu.
Pia ninaomba sana utumie mtandao kama una interest ya kujifunza kitu. K.v YouTube wako Poa sana.Tumia bando kula knowledge na sio kupostia picha social network ukiwa unakula kuku ila siku ukila maharage hauposti.
Katika ulimwengu huu tunaoishi kila maarifa yapo wazi kazi kwako kuyachota.
Kirusi kama Uko interested nicheki nakufundisha ila gharama ni ruble 1000 kwa lisaa.
Pia kichina na kireno kinafundishwa pale udsm katika College ya CoSS kama sijakosea ni siku nimetoka Hayo maeneo mkuu
Mkuu kupost picha sijakulenga www ni jamii nzima ya kitanzania namie nikiwemo
Ni Form 4. Amesoma masomo ya arts, sayansi machacheKasoma mchepuo gani ?
Bar attendant courseNawashukuru sana ingawa bado natafuta "quick win" moja ambayo akimaliza tu anatoka. Umenena vyema mkuu. Na ndiyo haswa lengo, sitaki akae ndani bila kufanya kitu. Hayo mengine ningependa yamkute akiwa kazini kwake ili hata likitokea aweze kumudu mwenyewe.