Bonge La Afya
Member
- Dec 19, 2016
- 31
- 71
Hivi ni haki kwa watoto wadogo kuvalishwa sare za vyama vya siasa wakiwa na umri wao huo mdogo?
#festongadaya
Sent using Jamii Forums mobile app
#festongadaya
Sent using Jamii Forums mobile app
nikafikiri michango ya hela na january yetu pendwa! JANUARY( MWEZI 1, MWEZI 2, MWEZI WA 3)
Nimeelewa, Lakini hoja kubwa ni kwa nini tusiwaache watoto wakafanya maamuziwenyewe, Tuwakuze kwa kuwaonesha pande zote ili wao ndio wafanye maamuzi.Tatizo nchi ni masikini. Wengine wanawavalisha sio kwamba wanapenda bali ndio walizonazo.
Hata wale unaowaona wanavalia vikofia na tshirts za chama cha majambazi kila siku usiwalaumu.
Ndio nguo alizonazo tu hizo na alipewa bure sasa hana namna ingine.