Ukikua utaacha,.hizo ni baleghe za awali na huwa zina mihemko sana,pole.Wewe Bado mwanafunzi kalale kesho uwahi shule
hakuna cha tam wala ni nini ni kwamba hujaizoea kama ya mkeo ila siku ukizoea ukionja nyingine utasma hivo hivo...lakini kumbuka kuwa huenda naye mkeo huwa anakamuliwa na yeye anashanaa hivi hivi kama wewe kwamba mbona mchepuko mtamuWadau mapenzi nimatamu ila penzi la wizi nitamu kuliko, Tena hakuna papuchi tamu Kama ya mke wamtu, najiuliza tu hivi namkeo angekuwa nimtamu Kama penzi la wizi unadhani michepuko ingetoka wapi, hata mimi ningetamani kuoa ila kwa Sasa acha nifaidi
Kwahiyo unakubaliana na mimi kuwa penzi la wizi nitamu isipokuwa halina uhai wa kudumuUnajua the law of demand and supply?..
Mnakua mnaona ni zuri kwa kua tu mna mda mchache sana wa kua pamoja
Mkipewa mda mf..mmoja akiachika hilo penzi ni nadra kufanikiwa ktk mazingira ya mda mwingi pamoja
Ni tamu ndio kwa kua si halaliKwahiyo unakubaliana na mimi kuwa penzi la wizi nitamu isipokuwa halina uhai wa kudumu
Ni tamu ndio kwa kua si halali
Likipata uhalali/muda kwisha habari
La ndani ya ndowa linakuwa si tamu kwa vile shetani anakuwa mbali nawe.Wadau mapenzi nimatamu ila penzi la wizi nitamu kuliko, Tena hakuna papuchi tamu Kama ya mke wamtu, najiuliza tu hivi namkeo angekuwa nimtamu Kama penzi la wizi unadhani michepuko ingetoka wapi, hata mimi ningetamani kuoa ila kwa Sasa acha nifaidi
penzi la wizi kama tamu basi kumbuka ya kuwa ndio maana mwenzio kaolewa ndio maana unasifia utamu wake.Wadau mapenzi nimatamu ila penzi la wizi nitamu kuliko, Tena hakuna papuchi tamu Kama ya mke wamtu, najiuliza tu hivi namkeo angekuwa nimtamu Kama penzi la wizi unadhani michepuko ingetoka wapi, hata mimi ningetamani kuoa ila kwa Sasa acha nifaidi
nikumbushe vizur mean commerce the law the price,the high quantt are boughtUnajua the law of demand and supply?..
Mnakua mnaona ni zuri kwa kua tu mna mda mchache sana wa kua pamoja
Mkipewa mda mf..mmoja akiachika hilo penzi ni nadra kufanikiwa ktk mazingira ya mda mwingi pamoja