Wadau nimeacha kwenda chuo mwaka 2016 je ? Nitaruhusiwa kuapply mwaka 2017

MP CHACHANDU

JF-Expert Member
Dec 4, 2016
875
615
Nilichaguliwa mwaka huu kwenda kusoma diploma of education in science but sina pesa zakuweza kujisomesha nataka nijipange mwakani nikasome certificate of medicine je ? Naweza kuapply na kuchaguliwa maana mwaka huu nimechaguliwa kupitia nacte wasije kugoma kunichagua tena kisa nilichaguliwa mwaka huu msaada wadau au unafanyaje ili wanitoe kwenye system ya nacte ili mwaka 2017 niapply upya ?
 
watakuchagua NB.kama matamko mwisho nov 2016 vinginevyo.....
 
Nilichaguliwa mwaka huu kwenda kusoma diploma of education in science but sina pesa zakuweza kujisomesha nataka nijipange mwakani nikasome certificate of medicine je ? Naweza kuapply na kuchaguliwa maana mwaka huu nimechaguliwa kupitia nacte wasije kugoma kunichagua tena kisa nilichaguliwa mwaka huu msaada wadau au unafanyaje ili wanitoe kwenye system ya nacte ili mwaka 2017 niapply upya ?
huwezii kurudishwa kwenye system tena kama matokeo yako yanalizisha unawezaa kwenda certificate of medicine ya chuo kingine cha kulipia kwa system ile imekula kwako ..
MSAADA unaitwaa nanii na umri gani...Je matokeoo yako yamekaa vizuri na umefikisha GRADE C saba au zaidi .......Nitumiee inbox maelezoo kamili .
 
Asante au mkuu mpaka niandike barua nacte kuwajulisha kuwa nimechaguliwa sijaenda nitaenda mwakani ili waniruhusu niapply ?
yah fanya hivo maana niliona tcu nao walitaka maelezo ya kutoka chuoni fanya hiv nenda chuo ulichochaguliwa wakupe barua zen ipeleke nacte waku block ufanye udahili mpya mwakan japo yamebak masaa machache tuisahau 2016......
 
huwezii kurudishwa kwenye system tena kama matokeo yako yanalizisha unawezaa kwenda certificate of medicine ya chuo kingine cha kulipia kwa system ile imekula kwako ..
MSAADA unaitwaa nanii na umri gani...Je matokeoo yako yamekaa vizuri na umefikisha GRADE C saba au zaidi .......Nitumiee inbox maelezoo kamili .
Wewe nae hueleweki kabisa bora kukaa kimya grade C saba za nini ? Kwani vigezo vya kujiunga na certificate of medicine si physics ,D,chemistry, D,na biology, D halafu wewe unaongea kitu kingine nikutumie taarifa ili uzifanyie nini labda ? Maana mda wa kuapply chuo ulishaisha mpaka mwakani tena au wewe una maana gani ?
 
Wewe nae hueleweki kabisa bora kukaa kimya grade C saba za nini ? Kwani vigezo vya kujiunga na certificate of medicine si physics ,D,chemistry, D,na biology, D halafu wewe unaongea kitu kingine nikutumie taarifa ili uzifanyie nini labda ? Maana mda wa kuapply chuo ulishaisha mpaka mwakani tena au wewe una maana gani ?
ndungu basi yaishe ila kumbukaa mtaka cha uvungunii shart uinamee ..nilii akionee kilichouvunguni kuna nafasi za kusoma degree baadhi ya nchii mbali lazima uwwe credits zisipopunguaa saba ndipoo uanzee kuwekaa usahili wako ....na wew unashikilia D D D mwenye D si kilaza huyo aendee medicine wa nin si atakuja kuuwa watu tu
 
ndungu basi yaishe ila kumbukaa mtaka cha uvungunii shart uinamee ..nilii akionee kilichouvunguni kuna nafasi za kusoma degree baadhi ya nchii mbali lazima uwwe credits zisipopunguaa saba ndipoo uanzee kuwekaa usahili wako ....na wew unashikilia D D D mwenye D si kilaza huyo aendee medicine wa nin si atakuja kuuwa watu tu
Ndoo maana nikasema wewe ni mjinga kama serikali imesema kwenda kusoma certificate of medicine uwe na d tatu za science halafu wewe unasema mpaka credit saba unajua maana ya credit saba au unalopoka tu kwanza upo nchi gani wewe sisi huku tz tunaangalia vigezo vya nacte acha sifa
 
ndungu basi yaishe ila kumbukaa mtaka cha uvungunii shart uinamee ..nilii akionee kilichouvunguni kuna nafasi za kusoma degree baadhi ya nchii mbali lazima uwwe credits zisipopunguaa saba ndipoo uanzee kuwekaa usahili wako ....na wew unashikilia D D D mwenye D si kilaza huyo aendee medicine wa nin si atakuja kuuwa watu tu
Aisee we jamaa umenichekesha sana.Auwe watu Mkuu!!!
 
Ndoo maana nikasema wewe ni mjinga kama serikali imesema kwenda kusoma certificate of medicine uwe na d tatu za science halafu wewe unasema mpaka credit saba unajua maana ya credit saba au unalopoka tu kwanza upo nchi gani wewe sisi huku tz tunaangalia vigezo vya nacte acha sifa
ahahaha wew D tatuu za sayansi kaka darasani ulikuwa unalala au unasomaa D weewe mweu na serikali yako ...INGIA .....www.IUA .com ..
haoo ndio waaumee sawaa sio unang'ng'ania D tatuu wew kawew mwalimu tu ...usiforce wakati mbongo hamna
 
Toa taarifa Nacte then watakutoa kwenye system na baada ya hapo watakuchagua tu provided uwe na qualification
 
Back
Top Bottom