Tized
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 4,025
- 5,955
Pole sana Mkuu, baadhi wameshauri vizuri na experiences zao pia. Zingatia sana upendo sana kwa mkeo, maana wadada huvutwa kufanya hiyo mambo kutokana na upendo wao kwa wahusika, so inaelekea labda kuna vitu ambavyo vimekua vikiendelea vinavyochangia kushuka kwa upendo wake kwako, au ishu nzima ya yeye kutomfikisha anakoenda, so hio inampa kukata tamaa na tendo maana anajua yeye anatumika kama chombo tu cha kukidhi haja zako na yeye anabaki na njaa yake kila wakati, So Mkuu hakilisha naye anafika huku uendako.