Uchira 1
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 5,317
- 7,468
kokoa ndo kiswahili kakao nadhani ni mbwembwe tuuPoint of Correction,
Ni KAKAO sio KOKOA.
View attachment 793060View attachment 793061View attachment 793062
kokoa ndo kiswahili kakao nadhani ni mbwembwe tuuPoint of Correction,
Ni KAKAO sio KOKOA.
View attachment 793060View attachment 793061View attachment 793062
mimi natafuta mbegu ya hii kakao na mti wa mpira kwa walio tanga huko nasikia kuna mashamba ya serkal ila sijui yapo sehem gan hasa...uwi naapload picha zaidi ya dk 10 nw na shindwa !hhili zao linalimwa sana mbeya !njia ya kwenda matema huko..na huko mbingu ifakara !mti mmoja haukomai kwa wakat mmoja !i mean mti mmoja unaweza beba matunda 13 yatakayovunwa yaweza kuwa 3!bei kwasasa zimeshuka !hakuna bei ya 2000/!mara ya mwisho tumeuza kwa kilo 1200/!
kiukweli lina pesa !waweza vuna had kilo 100!
Tanga kokoa zipo mkuu ila zinabeba matunda mengi tofauti na vile mkuu wa awali alisema pia kwenye mti mmoja unaweza vuna matunda hata kumi kwa wakati mmoja mie niliwahi shiriki kidogo katika uvunaji japo sikupata fursa ya kulijua kiundani hilo zao ila soko walidai lipo kenya na walisema 1kg ilikuwa 3000Tshs, kule mazao karibu yote yanamea vzuri tuu maana udongo ni mzuri na mvua ni nyingimimi natafuta mbegu ya hii kakao na mti wa mpira kwa walio tanga huko nasikia kuna mashamba ya serkal ila sijui yapo sehem gan hasa...
nawezaje kupata mbegu ya hili zao mkuu... msaada tafadhariTanga kokoa zipo mkuu ila zinabeba matunda mengi tofauti na vile mkuu wa awali alisema pia kwenye mti mmoja unaweza vuna matunda hata kumi kwa wakati mmoja mie niliwahi shiriki kidogo katika uvunaji japo sikupata fursa ya kulijua kiundani hilo zao ila soko walidai lipo kenya na walisema 1kg ilikuwa 3000Tshs, kule mazao karibu yote yanamea vzuri tuu maana udongo ni mzuri na mvua ni nyingi
Tanga nishatoka mkuu ila mkuu unaweza onana na mawakala wa mbegu ukapatashida yangu ni mbegu boss
ok shukrani...Tanga nishatoka mkuu ila mkuu unaweza onana na mawakala wa mbegu ukapata
Kakao ikiwa bado haijatengenezwa na Kokoa ni baada ya kutengenezwa.kokoa ndo kiswahili kakao nadhani ni mbwembwe tuu
nashukuru kwa darasa mkuuKakao ikiwa bado haijatengenezwa na Kokoa ni baada ya kutengenezwa.
kwa kingereza wanaita CACAO na COCOA.
Ni kama vile Buni ikiwa bado haijatengenezwa ila ikitengenezwa inaitwa Kahawa.