NYUMBANITU
Member
- Nov 21, 2016
- 15
- 12
Habari wana jamii forum,
Leo najitokeza kwenu wadau ili muweze kunisaidia tatizo nililonalo. Tatizo hili nimehangaika nalo mpaka nimekwama, so najua humu naweza kupata mtu aliyewahi kuwa na tatizo kama langu na pengine akapata suluhisho akaweza kunisaidia njia ipi alitumia.
Mimi ni miaka 29 sasa hivi na nina tatizo kubwa sana la upungufu wa nguvu za kiume, yaan ninaposema nina tatizo wadau mnielewe kuwa nina shida kwelikweli. Mimi uwezo wangu wa kusimamisha ni mdogo sana yaan hata unaweza kuwa na mwanamke ukawa unamchezea na possible mashine isisimame kabisa au kama itasimama basi ni kwa ulegelege sana yaani haikakamai au kuwa STIFF.
Na kama inatokea nikataka kufanya tendo basi haizidi dakika hata mbili nishakojoa na hapo sasa kuja kusimama tena ni shughuli inaweza ikachukua muda sana, au isisimame kabisa. Nimejaribu kula sana mitishamba ya kutosha lakini wapi, kuna cku nilienda hospitali but docta akanihoji tu hakunipima basi akaniandika dawa nikanunue inaitwa "weed goat and yohimbe " kama cjakosea ilikua doz ya mwezi mmoja but ckuona hata dalili za mabadiliko.
Hadi sasa nimegail kabisa hata kutongoza maana, kuna wadada kama watatu tofauti washanikimbia coz wanakuwa hawanielewi kabisa, anakuja home halafu anaishia kuchezewa tu. Wamekua hawanielewi kwa kweli japo nimekua nikificha asijue sababu. but kiukweli mimi mwenyewe naumia sana cna jinsi na umri unasogea hata mustakabali wa kuoa naona giza tu.
Naomba kwa dhati kabisa km kuna mwenye ufumbuzi wa tatizo langu au kuna mtu aliwah pata tatzo hili pleasez naomba mnisaidie mlitatua vip na km ni hospital ni hospital gani na hata jina la dactari km inawezekana. au km ni dactari ni mwanajamii basi nitashukuru kupata maelezo ya suluhisho.
kiukweli sina raha kabisa na maisha haya.
kwa unyenyekevu mkubwa naomba kuwasilisha kwenu wadau.
Leo najitokeza kwenu wadau ili muweze kunisaidia tatizo nililonalo. Tatizo hili nimehangaika nalo mpaka nimekwama, so najua humu naweza kupata mtu aliyewahi kuwa na tatizo kama langu na pengine akapata suluhisho akaweza kunisaidia njia ipi alitumia.
Mimi ni miaka 29 sasa hivi na nina tatizo kubwa sana la upungufu wa nguvu za kiume, yaan ninaposema nina tatizo wadau mnielewe kuwa nina shida kwelikweli. Mimi uwezo wangu wa kusimamisha ni mdogo sana yaan hata unaweza kuwa na mwanamke ukawa unamchezea na possible mashine isisimame kabisa au kama itasimama basi ni kwa ulegelege sana yaani haikakamai au kuwa STIFF.
Na kama inatokea nikataka kufanya tendo basi haizidi dakika hata mbili nishakojoa na hapo sasa kuja kusimama tena ni shughuli inaweza ikachukua muda sana, au isisimame kabisa. Nimejaribu kula sana mitishamba ya kutosha lakini wapi, kuna cku nilienda hospitali but docta akanihoji tu hakunipima basi akaniandika dawa nikanunue inaitwa "weed goat and yohimbe " kama cjakosea ilikua doz ya mwezi mmoja but ckuona hata dalili za mabadiliko.
Hadi sasa nimegail kabisa hata kutongoza maana, kuna wadada kama watatu tofauti washanikimbia coz wanakuwa hawanielewi kabisa, anakuja home halafu anaishia kuchezewa tu. Wamekua hawanielewi kwa kweli japo nimekua nikificha asijue sababu. but kiukweli mimi mwenyewe naumia sana cna jinsi na umri unasogea hata mustakabali wa kuoa naona giza tu.
Naomba kwa dhati kabisa km kuna mwenye ufumbuzi wa tatizo langu au kuna mtu aliwah pata tatzo hili pleasez naomba mnisaidie mlitatua vip na km ni hospital ni hospital gani na hata jina la dactari km inawezekana. au km ni dactari ni mwanajamii basi nitashukuru kupata maelezo ya suluhisho.
kiukweli sina raha kabisa na maisha haya.
kwa unyenyekevu mkubwa naomba kuwasilisha kwenu wadau.