Mugabe one
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 2,327
- 1,681
Mimi sijawahi kufanya nyeto nilitadhalishwa mapema na babu yanguHivi kuna mtu ambae hajawahi kula mkono (punyeto)kweli humu wakuu??
Mimi sijawahi kufanya nyeto nilitadhalishwa mapema na babu yanguHivi kuna mtu ambae hajawahi kula mkono (punyeto)kweli humu wakuu??
Ni kuna MTU hata mimi nimekumbuka yuko Mkoani TANGA, ila anayemfahamu MTU huyo Yuko chuo cha polisi MoshiSawa kama unadhani nataka kumwibia. Maana kama angehitaji ningempa namba yake waongee naye mwenyewe. Huyo jamaa yupo kijijini anatibu hata mtu aliyezaliwa na unanithi.
kama hua unafany punyeto acha, fanya mazoez kam kucheza mpira, kaa kwa mda mrefu sana bila kusex ili akili itulie na hali ya kutojiamin iishe, penda kutafuna mihogo mibichi, karanga mbichi, kunywa maji mengi, nahis baada ya miez sita sex utaona changes.
Kuna askari yuko chuo cha polisi ana school mate wake anajua ya miti shamba ni huko Tanga.Habari wana jamii forum, leo najitokeza kwanu wadau ili mweze kunisaidia tatizo nilonalo. Tatizo hili nimehangaika nalo mpaka nimekwama, so najua humu naweza pata mtu aliewahi kua na tatizo kama langu na pengine akapata suluhisho akaweza nisaidia njia ipi alitumia.
mimi ni miaka 29 sasa hv na ninatatizo kubwa sana la upungufu wa nguvu za kiume, yaan ninaposema ninatatizo wadau mnielewe kua ninashida kwelikweli. mimi uwezo wangu wa kusimamisha ni mdogo sana yaan hata unaweza kua na mwanamke ukawa unamchezea na possible mashine isisimame kabisa au kama itasimama basi ni kwa ulegelege sana yaani haikakamai au kua STIFF.
Na kama inatokea nikataka kufanya tendo basi haizizi dakika hata mbili nishakojoa na hapo sasa kuja kusimama tena ni shuhuli inaweza ikachukua mda sana, au isisimame kabisa. nimejaribu kula sana mitishamba ya kutosha lakini wapi, kuna cku nilienda hospitali but docta akanihoji tu hakunipima basi akaniandika dawa nikanunue inaitwa "weed goat and yohimbe " kama cjakosea ilikua doz ya mwezi mmoja but ckuona hata dalili za mabadiliko.
Hadi sasa nimegail kabisa hata kutongoza mana, kuna wadada kama watatu tofauti washanikimbia coz wanakua hawanielewi kabisa, anakuja home hafu anaishia kuchezewa tu. wamekua hawanielewi kwa kweli japo nimekua nikificha asijue sababu. but kiukweli mimi mwenyewe naumia sana cna jinsi na umri unasogea hata mustakabali wa kuoa naona giza tu.
Naomba kwa dhati kabisa km kuna mwenye ufumbuzi wa tatizo langu au kuna mtu aliwah pata tatzo hili pliz naomba mnisaidie mlitatua vip na km ni hospital ni hospital gani na hata jina la dactari km inawezekana. au km ni dactari ni mwanajamii basi nitashukuru kupata maelezo ya suluhisho. kiukweli sina raha kabisa na naisha haya.
kwa unyenyekevu mkubwa naomba kuwasilisha kwenu wadau.
Hii namba, ni ya wapi Mkuu?Mkuuu yangu 06845553444
Kuna watu wanakupuuza lakini ukweli wapo wanaoteseka kwa kukaa kimya.Kwakua namba yako umeiweka hapa nitàkupa namba ya bibi mmoja yupo Sumbawanga vijijini ambaye alimtibu kaka yangu tatizo kama lako na tiba ilikua ni siku moja tu hadi leo anapiga mechi namba 9 mzuri sana hadi kipa anakimbia box wakati zamani alianza kuambiwa na mkewe "unatatizo gani mbona siku hizi huwezi?", kauli hiyo ndiyo iliyomfanya atafute tiba.Kaka nakuapia ukienda kutibiwa utakuja huku kuleta feedback ili wasioamini wafumbuke macho,achana na madawa ya kwenye matangazo na michanganyiko isiyokuletea jibu la hitaji lako na HAKUNA GHARAMA sana sana utalipa kama sio 5,000/= basi ni 10,000/=Habari wana jamii forum, leo najitokeza kwanu wadau ili mweze kunisaidia tatizo nilonalo. Tatizo hili nimehangaika nalo mpaka nimekwama, so najua humu naweza pata mtu aliewahi kua na tatizo kama langu na pengine akapata suluhisho akaweza nisaidia njia ipi alitumia.
mimi ni miaka 29 sasa hv na ninatatizo kubwa sana la upungufu wa nguvu za kiume, yaan ninaposema ninatatizo wadau mnielewe kua ninashida kwelikweli. mimi uwezo wangu wa kusimamisha ni mdogo sana yaan hata unaweza kua na mwanamke ukawa unamchezea na possible mashine isisimame kabisa au kama itasimama basi ni kwa ulegelege sana yaani haikakamai au kua STIFF.
Na kama inatokea nikataka kufanya tendo basi haizizi dakika hata mbili nishakojoa na hapo sasa kuja kusimama tena ni shuhuli inaweza ikachukua mda sana, au isisimame kabisa. nimejaribu kula sana mitishamba ya kutosha lakini wapi, kuna cku nilienda hospitali but docta akanihoji tu hakunipima basi akaniandika dawa nikanunue inaitwa "weed goat and yohimbe " kama cjakosea ilikua doz ya mwezi mmoja but ckuona hata dalili za mabadiliko.
Hadi sasa nimegail kabisa hata kutongoza mana, kuna wadada kama watatu tofauti washanikimbia coz wanakua hawanielewi kabisa, anakuja home hafu anaishia kuchezewa tu. wamekua hawanielewi kwa kweli japo nimekua nikificha asijue sababu. but kiukweli mimi mwenyewe naumia sana cna jinsi na umri unasogea hata mustakabali wa kuoa naona giza tu.
Naomba kwa dhati kabisa km kuna mwenye ufumbuzi wa tatizo langu au kuna mtu aliwah pata tatzo hili pliz naomba mnisaidie mlitatua vip na km ni hospital ni hospital gani na hata jina la dactari km inawezekana. au km ni dactari ni mwanajamii basi nitashukuru kupata maelezo ya suluhisho. kiukweli sina raha kabisa na naisha haya.
kwa unyenyekevu mkubwa naomba kuwasilisha kwenu wadau.
Kuna watu wanakupuuza lakini ukweli wapo wanaoteseka kwa kukaa kimya.Kwakua namba yako umeiweka hapa nitàkupa namba ya bibi mmoja yupo Sumbawanga vijijini ambaye alimtibu kaka yangu tatizo kama lako na tiba ilikua ni siku moja tu hadi leo anapiga mechi namba 9 mzuri sana hadi kipa anakimbia box wakati zamani alianza kuambiwa na mkewe "unatatizo gani mbona siku hizi huwezi?", kauli hiyo ndiyo iliyomfanya atafute tiba.Kaka nakuapia ukienda kutibiwa utakuja huku kuleta feedback ili wasioamini wafumbuke macho,achana na madawa ya kwenye matangazo na michanganyiko isiyokuletea jibu la hitaji lako na HAKUNA GHARAMA sana sana utalipa kama sio 5,000/= basi ni 10,000/=
Mkuu hayo mawazo sio chanya mwambie afanye mazoeziKuna askari yuko chuo cha polisi ana school mate wake anajua ya miti shamba ni huko Tanga.
Kunywa Ciproflaxasin 1*2. Itamaliza tatizo lote. Choo ni kichafu,ndo mana inakuwa hivyo.Habari wana jamii forum, leo najitokeza kwanu wadau ili mweze kunisaidia tatizo nilonalo. Tatizo hili nimehangaika nalo mpaka nimekwama, so najua humu naweza pata mtu aliewahi kua na tatizo kama langu na pengine akapata suluhisho akaweza nisaidia njia ipi alitumia.
mimi ni miaka 29 sasa hv na ninatatizo kubwa sana la upungufu wa nguvu za kiume, yaan ninaposema ninatatizo wadau mnielewe kua ninashida kwelikweli. mimi uwezo wangu wa kusimamisha ni mdogo sana yaan hata unaweza kua na mwanamke ukawa unamchezea na possible mashine isisimame kabisa au kama itasimama basi ni kwa ulegelege sana yaani haikakamai au kua STIFF.
Na kama inatokea nikataka kufanya tendo basi haizizi dakika hata mbili nishakojoa na hapo sasa kuja kusimama tena ni shuhuli inaweza ikachukua mda sana, au isisimame kabisa. nimejaribu kula sana mitishamba ya kutosha lakini wapi, kuna cku nilienda hospitali but docta akanihoji tu hakunipima basi akaniandika dawa nikanunue inaitwa "weed goat and yohimbe " kama cjakosea ilikua doz ya mwezi mmoja but ckuona hata dalili za mabadiliko.
Hadi sasa nimegail kabisa hata kutongoza mana, kuna wadada kama watatu tofauti washanikimbia coz wanakua hawanielewi kabisa, anakuja home hafu anaishia kuchezewa tu. wamekua hawanielewi kwa kweli japo nimekua nikificha asijue sababu. but kiukweli mimi mwenyewe naumia sana cna jinsi na umri unasogea hata mustakabali wa kuoa naona giza tu.
Naomba kwa dhati kabisa km kuna mwenye ufumbuzi wa tatizo langu au kuna mtu aliwah pata tatzo hili pliz naomba mnisaidie mlitatua vip na km ni hospital ni hospital gani na hata jina la dactari km inawezekana. au km ni dactari ni mwanajamii basi nitashukuru kupata maelezo ya suluhisho. kiukweli sina raha kabisa na naisha haya.
kwa unyenyekevu mkubwa naomba kuwasilisha kwenu wadau.
Apige pushapu.. 50 hadi 70 kwa siku..Umri wako Mdogo Sana Fanya mazoezi
Wewe umejuaje amewahi kukutibu?Sawa kama unadhani nataka kumwibia.
Maana kama angehitaji ningempa namba yake waongee naye
mwenyewe. Huyo jamaa yupo kijijini anatibu hata mtu aliyezaliwa na unanithi.
Kuna watu wanakupuuza lakini ukweli wapo wanaoteseka kwa kukaa kimya.Kwakua namba yako umeiweka hapa nitàkupa namba ya bibi mmoja yupo Sumbawanga vijijini ambaye alimtibu kaka yangu tatizo kama lako na tiba ilikua ni siku moja tu hadi leo anapiga mechi namba 9 mzuri sana hadi kipa anakimbia box wakati zamani alianza kuambiwa na mkewe "unatatizo gani mbona siku hizi huwezi?", kauli hiyo ndiyo iliyomfanya atafute tiba.Kaka nakuapia ukienda kutibiwa utakuja huku kuleta feedback ili wasioamini wafumbuke macho,achana na madawa ya kwenye matangazo na michanganyiko isiyokuletea jibu la hitaji lako na HAKUNA GHARAMA sana sana utalipa kama sio 5,000/= basi ni 10,000/=
Kwa nilichowahi shuhudia kuna jamaa ilikuwa haisimami alipelekwa akaponaMkuu hayo mawazo sio chanya mwambie afanye mazoezi
Mkuu nina ongea vitu vyenye uhakika ndio maana nikasema takupa namba ya bibi huyo sio hadithi za mitaani.namba yangu sijaiweka bado hio ni ya mdau nadhani alikua anaitoa. unamawasiliano naye huyo bibi? bdo nataman nipate mdau aliewah pata au anajua suluhisho la hospitalini kwanza mana miti shamba nimekula sana nishamaliza mpunga mwingi sana
Ushauri wako mzuri sana ingawa umeanza kwa kumkatisha tamaa. Kwa mwanaume kujiamini ni kitu muhimu sana. Hata mimi nikiwa siba chapaa mfukoni mashine yangu huwa haina ujanja. Lakini zikinitembelea nakuwa kiboro dinda.Kweli dunia pana. Wengine tunatamani uume ulale wengine wanatamani usimike 24/7 tutafika kweli?? Badala ya kuwaza mambo ya fweza unajidhalilisha humu kuweka namba za sm??
Ushauri; Tafuta fweza kwanza, ulale na ka laki moja mfukoni mwezi mmoja kama hutakuja hapa jf kuomba mawazo yetu. Mwanaume kama huna mihela mfukoni ni stress tupu hata angekuja miss world huna ham naye. Punguza stress, usiwaogope hao wanawake, tena achana na vijisichana vitakusumbua na "sitaki nataka" masaa kibao ukijampanda unajikuta mbegu zishafika getini. Nenda kwa wauzaji ujinunulie umtakaye kama mara tano hivi tiyari ujasiri unakurudia uendelee na hao wa skuli wakukuliza masaa
Ushauri wako mzuri sana ingawa umeanza kwa kumkatisha tamaa. Kwa mwanaume kujiamini ni kitu muhimu sana. Hata mimi nikiwa siba chapaa mfukoni mashine yangu huwa haina ujanja. Lakini zikinitembelea nakuwa kiboro dinda.