Kunaweza kukawa na vigezo vya ziada kuliko GPA kupanda tu. Mfano, mimi mwaka wa kwanza nlikuwa na 4.1, wa pili 3.8 na wa tatu 4.2.Hons iko natafisiri nyingi ila Acha waliosoma Jalalani waje wakupe ufafanuzi ila tu kwa uelewa wangu Mdogo Hons hutumika ikiwa tu mwanafunzi GPA yake ilikuwa inaongezeka tu kila academic year
Ni kweli mkuu ndio mana nikasema inategemea na Chuo mana kuna ambao hons hutoa ikiwa tu hujawahi kudakwa hata Sup mojaKunaweza kukawa na vigezo vya ziada kuliko GPA kupanda tu.
Mfano, mimi mwaka wa kwanza nlikuwa na 4.1, wa pili 3.8 na wa tatu 4.2.
So, mwaka wa pili nilishuka but still cheti kinasomeka "with honours".
Hapo uliposema upper second na first class sio kweliNini maana Hons katika degree?
Kwa UDSM wanakupa degree with hons ukipata second au first class haijalishi GPA yako ilicheza vipi. Hapa kigezo ni ufaulu.
Nje ya UD kuna chuo kinatoa?
Kwa Tanzania sina hakika, lakini huko majuu ni kitu cha kawaida. Kuna vyuo ambavyo vinatoa programs ambazo ni hons programs, as such hata ukipata plain pass unakuwa bado una hons degree. Yaani uhons wake siyo ufaulu wako bali ni content yake (ambayo ina mambo mengi zaidi na huenda ni ngumu zaidi, huweza kuchukua miaka kama minne hivi)
Vigezo vyake ni vipi? Soma hapo juu
Chuo kina uwezo wa kumpokonya alumni wake degree?
Chuo kinaweza kukupokonya degree kama wakigundua umefanya udanganyifu wa kitaluuma. Kudanganya ufaulu wako uliokupa admission, plagiarism (degree za juu), na kadhalika.
Hata UD walishafanya hivyo, kuna waziri wa ujerumani yalimkuta akanyang'anywa degree na uwaziri ukamtoka. Mama Grace Mugabe sijui yalimkuta yapi lakini VC alimwaga unga.
- Thread starterkukumsela
- Start dateToday at 8:28 AM
Amesema Second na sio Upper Second!Hapo uliposema upper second na first class sio kweli
Maana kuna watu wana lower second na bado wana Hons