Ufundi wa magari,pikipiki nk ukimaliza hapo veta ukagraduate utakuwa na NTA LEVEL 3, ukipass utaruhusiwa kujiunga na NTA LEVEL 4....unaweza soma ordinary diploma in mechanical engineeringHabari wadau wa jf naomba kuchapisha Uzi huu ivi kozi ya motor vehicle mechanics inayotolewa veta ni kozi inayohusu mambo gani na unaweza kujiendeleza baada ya kumaliza kozi hyo na kujiunga diploma naomba msaada wenu wadau
Asante sana mkuu mfano mm form 4 nilikuwa arts subject pia naweza ku apply diplomaUfundi wa magari,pikipiki nk ukimaliza hapo veta ukagraduate utakuwa na NTA LEVEL 3, ukipass utaruhusiwa kujiunga na NTA LEVEL 4....unaweza soma ordinary diploma in mechanical engineering
Kwa saiv mifumo inavobadilika hakuna anaeweza kutoa jibuAsante sana mkuu mfano mm form 4 nilikuwa arts subject pia naweza ku apply diploma
Arts olevel kwa mfumo wa sasa hv cjajuaAsante sana mkuu mfano mm form 4 nilikuwa arts subject pia naweza ku apply diploma