The boss, asprin, bishanga na mjomba kaizer ndio wanajua. Kalale ukiamka utakuta majibu.
msitudanganye,wengi humu mnajitia kukandia,mkishakutoka jf tu,inakuwa kinyume chake.
wadau wote wa JF katika column hii plse naomba mniambie faida ya nyumba ndogo na kwa nini wanaume walio wengi wanapenda nyumba ndogo,kuna jamaa yangu kaoa juzi tu lakini tayari kwa sasa ana nyumba ndogo