Rhobi1961
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 888
- 681
Kuna mda nilikuwa naangalia mpira kati ya Nigeria na Tanzania sasa wakati tumefungwa nikabadili chanel katika kubadili kule nikakutana na chanel inaitwa Shiloh TV, kuna mtu anaitwa Nabii Frank.
Nachotaka kujua ni kweli huyu Nabii anafanya yanayompendeza Mungu au ni nyakati za mwisho?? Na kama ni kweli anapatikana wapi hapa Tanzania.
Asante.
Nachotaka kujua ni kweli huyu Nabii anafanya yanayompendeza Mungu au ni nyakati za mwisho?? Na kama ni kweli anapatikana wapi hapa Tanzania.
Asante.