Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 8,277
- 8,492
Nilivyoelewa hashauri zaidi kuagiza watu au mtandaoni bora uende mwenyewe. Shida ya uhalifu wa mtandaoni ni kubwa na kuaminika kwa watu tokana na ushawishi wa pesa.Yan mkuu tunashukuru KWa elimu yako mana inaonekana gari za mkaburu ziko chin
Sisi tunataka connection za uwakika zisizo za magumashi, mfano makampuni Kam be forward ambayo unaweza Lipia gari na ikafika