Nashukuru mdau kwa majibu mazuri hivi turbo ni system inayotumia mafuta sana au? Maana siielewi vizuri hii system msaada zaid tafadhal na kuhusu matumizi ya mafuta hakuna jinsi ya kumodify engine ikawa na matumizi kidogo ya mafuta?
cha mwisho, jifunzeni ku goole na kupata information za vitu au magari myatakayo. Kama ni subaru ya 2004 kwa mfano, ukiandika 2004 subaru forester mpg utapata forum za kutosha na mambo mengi zaidi ya mafuta utayakuta huko. Wenzetu wananunua magari kwa kuzingatia bajeti zao na anajua kwa mwaka ataghalimikaje kwa mafuta na matengenezo. Nisikuchoshe mkuu. Watakuja wataalam wakupe kitaaluma zaidi.
Wanajamii nashukuru kwa elimu mliyonipa vp kuhusu nissan xtrail GT ebu nipeni maana ya hiyo GT na features zake ikiwemo mazuri na mabaya yake nawasumbua ila ndo maana nzima ya kuwa wanajamii
Asanteni
madhara yake ni yap mkuu na inawekwa vipi hiyo Fuel enhancer plus cost please tuambie maana lazima itakuwa na madhara kiasi fulani ebu jaribu kutujuza thn tutawasiliana kwa utaratibu huo