Wadau Msishangae.

Ndibalema

JF-Expert Member
Apr 26, 2008
10,956
4,647
Naskia ukiruka stage ni lazma utaipitia tena baadaye.
Mfano ulivyokuwa mtoto kama ulitoka hatua ya kukaa, ghafla ukaanza kusimama dede basi hata kama uzeeni ni lazma utakuja kutambaa tu.

Mimi sikujitambulisha siku ya kwanza nilipo join JF.
Ndio najitambulisha hivi.
 
Hahahahaha! Karibu Chumbani! au nako ushafika!

Naskia ukiruka stage ni lazma utaipitia tena baadaye.
Mfano ulivyokuwa mtoto kama ulitoka hatua ya kukaa, ghafla ukaanza kusimama dede basi hata kama uzeeni ni lazma utakuja kutambaa tu.

Mimi sikujitambulisha siku ya kwanza nilipo join JF.
Ndio najitambulisha hivi.
 
karibu sana Ndibalema,kwa kuwa u mwenyeji sasa kaa mbali na kile chama kikuu cha infiii
 
Naskia ukiruka stage ni lazma utaipitia tena baadaye.
Mfano ulivyokuwa mtoto kama ulitoka hatua ya kukaa, ghafla ukaanza kusimama dede basi hata kama uzeeni ni lazma utakuja kutambaa tu.

Mimi sikujitambulisha siku ya kwanza nilipo join JF.
Ndio najitambulisha hivi.

heeee heeee.....
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom