Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,647
Naskia ukiruka stage ni lazma utaipitia tena baadaye.
Mfano ulivyokuwa mtoto kama ulitoka hatua ya kukaa, ghafla ukaanza kusimama dede basi hata kama uzeeni ni lazma utakuja kutambaa tu.
Mimi sikujitambulisha siku ya kwanza nilipo join JF.
Ndio najitambulisha hivi.
Mfano ulivyokuwa mtoto kama ulitoka hatua ya kukaa, ghafla ukaanza kusimama dede basi hata kama uzeeni ni lazma utakuja kutambaa tu.
Mimi sikujitambulisha siku ya kwanza nilipo join JF.
Ndio najitambulisha hivi.