Wadau msaada wenu tutani kwa anayejua hili kwenye Daraja la Magufuli mto Kilombero

tatum

JF-Expert Member
Jan 16, 2018
5,786
4,490
Screenshot_20190106-115106.png

Screenshot_20190106-115136.png


Katika kupita Ifakara Mkoani Morogoro wilaya ya Kilombero nilienda mpaka mto Kilombero smbako kuna daraja lililozinduliwa na Rais Magufuli mwaka Jana.

Wakati Niko upande wa wilaya ya Kilombero kibao Cha daraja kimeandikwa Daraja la Magufuli au Magufuli Bridge na ulivuka upande wa wilaya ya Ulanga kibao kimeandikwa Mgulungulu Bridge au Daraja la Mgulungulu.

Nilijaribu kuwauliza watu Kama wanna hivi kujua Kama wanajua maana ya Mgulungulu lakini wote walikuwa hawajui.

Sasa Kama Kuna mdau anajua maana ya hilo neno na kwanini kuna vibao viwili ktk daraja moja na majina tofauti?
 
Mkuu pale pana madaraja mawili na si moja kama ulivyoona wewe... ukitoka ifakara unalimaliza magufuli then waingia hilo la pili unaona kabsa yako tofauti
 
Back
Top Bottom