Wadau mnasemaje kuhusu hili....

MyTz

JF-Expert Member
Sep 20, 2011
333
62
Unakuta binti ana b/f wake tangu akiwa level za sec, boy anajiweka kwa binti kiukweli koz anategemea badae flan aje awe wife!!jamaa anamsapoti binti mpaka kufikia level ya chuo!!baada ya kujoin chuo binti anaamua kumpiga chini boy, na hili tukio limeshawakuta vijana wengi....hii kitu % kubwa ya mabinti huwa wanaifanya sana!!!
wadau mnasemaje hili, hii kitu huwa inasababishwa na nini?
 
binti wa chini ya miaka 18 mara nyingi huwa hana chaguo maalum,,,mara nyingi huwa anakuwa kapenda kwa shinikizo au kuiga marafiki au ndugu zake wa karibu.anapofikia level ya chuo hapo anakuwa na maamuzi yake mwenyewe.
Ilikwishawahi nitokea miaka ya nyuma nilipendana na binti wakati huo tukiwa sekondari, baada ya kumaliza tukatengana yeye akawa yupo mkoa tofauti na mimi, na siku tumekuja onana wakati huo miaka imepita na yeye akiwa kamaliza chuo...nilijaribu kumdodosa na kujaribu kurudisha mahusiano,,yeye alikataa na kuniambia nijaribu kumpa nafasi kwani wakati ule(enzi za mahusiano yetu) alikuwa hajui kupenda.
 
usaliti, matamanio ya tamaa, hasa kwenye fedha na akili ya ulimbukeni kwa hiyo ni bora sana kufikiria hasa pale mwenzie anapo hangaika kumpatia mahitaji ya kila aina halafu anakuja kumugeuka.
 
hahahahaha ....hapo hamna cha kumlaumu mwanamke...yule jamaa alifanya hayo kwa mapenzi yake mwenyewe......wewe upo kwenye dinbwi la maji unaanza ipango ya ndoa!!! ukifika bahari itakuwaje? sasa deu amefika bahari ndio kaona hufai tena...just mambo ya maisha.
 
binti wa chini ya miaka 18 mara nyingi huwa hana chaguo maalum,,,mara nyingi huwa anakuwa kapenda kwa shinikizo au kuiga marafiki au ndugu zake wa karibu.anapofikia level ya chuo hapo anakuwa na maamuzi yake mwenyewe.
Ilikwishawahi nitokea miaka ya nyuma nilipendana na binti wakati huo tukiwa sekondari, baada ya kumaliza tukatengana yeye akawa yupo mkoa tofauti na mimi, na siku tumekuja onana wakati huo miaka imepita na yeye akiwa kamaliza chuo...nilijaribu kumdodosa na kujaribu kurudisha mahusiano,,yeye alikataa na kuniambia nijaribu kumpa nafasi kwani wakati ule(enzi za mahusiano yetu) alikuwa hajui kupenda.

in red, wengi wao huwa hawana maamuzi hapo nimekusoma POMO
POMO inakuwaje wakifika Final year, huwa wanarudi kwa wale waliowapiga chini kwa take off speed ya ndege??
 
Me ndo maana najchukuliaga zangu majimama yaliyoshndkana mtaani.no strec wala nin.
 
binti wa chini ya miaka 18 mara nyingi huwa hana chaguo maalum,,,mara nyingi huwa anakuwa kapenda kwa shinikizo au kuiga marafiki au ndugu zake wa karibu.anapofikia level ya chuo hapo anakuwa na maamuzi yake mwenyewe.
Ilikwishawahi nitokea miaka ya nyuma nilipendana na binti wakati huo tukiwa sekondari, baada ya kumaliza tukatengana yeye akawa yupo mkoa tofauti na mimi, na siku tumekuja onana wakati huo miaka imepita na yeye akiwa kamaliza chuo...nilijaribu kumdodosa na kujaribu kurudisha mahusiano,,yeye alikataa na kuniambia nijaribu kumpa nafasi kwani wakati ule(enzi za mahusiano yetu) alikuwa hajui kupenda.
KWELI
Mnoooooooooo
 
Kusema ukweli mimi ninadoubt kama wengi wetu kwa kipindi kile tunakuwaga tunaelewa hata maana ya kupenda. Mtu anifuate mie kwa umri huo wa chini ya miaka 18 aniambie nakupenda nataka nikuoe ukimaliza shule. Nitamkubalia kama nimevutiwa naye kwa umbole la nje ila pia kichwani mwangu kutakuwa kumejaa ......mashelashela, nimepigiwa vigelegele na pengine zawadi na jinsi nitakavyokuwa malaika au malkia siku ile ya arus- Na wala sitoelewa akitokea mtu atakayenambia Mwj1, jua ukijaolewa itakubidi uvumilie, utakumbana na a,be,che na mafundo mengine ya hali halisi ya ndoani sidhani kama ningemwelewa.

So mimi ni vema wakati wa umri wa aina hii watu wawe marafiki tu mpaka wakijafika chuo na kujiona wamekomaa ndio watamkiane wanataka kuoana. Wavulana waache kuwekeza( zawadi za kawaida, sijui barua yenye manukato, zile kadi zenye wahindi waliokaa kwenye maua) sawa tuma lakini usijiwekezee ukiwa na matumaini ya huko mbeleni. Waache kubaka akili zao ambazo kwa wakati huo bado hazijakomaa.

Eh hapa nimeandika utafikiri Head Mistress anahutubia loh.....unoko tu umenishika! Nisameheni.
 
Kikubwa mi naona ni tamaa na kutofkiria kesho yako itakuaje.wanawake weng wako materially sana so no tru love.
 
Kusema ukweli mimi ninadoubt kama wengi wetu kwa kipindi kile tunakuwaga tunaelewa hata maana ya kupenda. Mtu anifuate mie kwa umri huo wa chini ya miaka 18 aniambie nakupenda nataka nikuoe ukimaliza shule. Nitamkubalia kama nimevutiwa naye kwa umbole la nje ila pia kichwani mwangu kutakuwa kumejaa ......mashelashela, nimepigiwa vigelegele na pengine zawadi na jinsi nitakavyokuwa malaika au malkia siku ile ya arus- Na wala sitoelewa akitokea mtu atakayenambia Mwj1, jua ukijaolewa itakubidi uvumilie, utakumbana na a,be,che na mafundo mengine ya hali halisi ya ndoani sidhani kama ningemwelewa.

So mimi ni vema wakati wa umri wa aina hii watu wawe marafiki tu mpaka wakijafika chuo na kujiona wamekomaa ndio watamkiane wanataka kuoana. Wavulana waache kuwekeza( zawadi za kawaida, sijui barua yenye manukato, zile kadi zenye wahindi waliokaa kwenye maua) sawa tuma lakini usijiwekezee ukiwa na matumaini ya huko mbeleni. Waache kubaka akili zao ambazo kwa wakati huo bado hazijakomaa.

Eh hapa nimeandika utafikiri Head Mistress anahutubia loh.....unoko tu umenishika! Nisameheni.

ndo maana wazee wanasema tusichanganye mapenzi ,pale shuleni tufanye kilichotupeleka maswala ya mapenzi angalau mkifika chuoni na vichwa vinakuwa vimekomaa atleast
 
ni vigumu sana kwa binti wa chini ya miaka 18, kutoa uamuzi kuhusu swala zima la mapenzi. since yeye mwenyewe bado ni mtoto!!!
 
Back
Top Bottom