Wadau mnalia na Wazungu huku Mwenguo na Macha wanapeta kwa kodi yetu

Kuna wakati hapa JF mdau fulani wa UK alielezea similar case, na nafikri (correct me if im wrong) aliweka hadi picha kuonyesha Ofisa wa Utalii akitumia trip ya kuitangaza Tanzania kwa Utalii na pia kutangaza kampuni yake!!!!!.........ikafika mahala akawa anatumia muda mwingi kuongelea kampuni yake zaidi ya majukumu yaliyompeleka UK........

.......pengine Mkuu Lunyungu anaona uwezekano kama huo kwa hawa wakuu Mwenguo na Macha to do the same upo...............however, Mkuu Lunyungu tupatie facts kama walivyofanya jamaa zetu wa UK.

Pili, Mkuu Lunyungu kagusia, kuhusu tour package zinazolipiwa huko huko US, Canada na Ulaya............ni kwa namna gani Tanzania tunanufaika nazo......i.e. mtu analipa lets say US$ 5000, covers for him/her everything................yeye ni kuleta begi lake tu na macho yake.............hiyo kama haitoshi bado watafungua na hoteli/kambi zao + usafiri wao.........well hii biashara mimi siijui sana.........lakini im curious to know Serikali yetu inafaidika vipi kimapato
 
Wakuu,

nimekubali na michango yenu.Hii post nilikua natamani sana ijadiliwe ndo maana nilianzisha nyengine kule sekshen ya
incredibles....http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=11406

Swala la makampuni ya wazungu kuchukua watalii kwa mkupuo ni la kawaida hata Kenya ni hivyo.Serikali inapata hela yake kwa kuwadai kodi hawa watalii pindi wanapotia timu nchini.Kisha pia yale makampuni ya tourism, pay taxes to the government in relation to the busineses volume.

Swali sasa ni je sisi kina yakhe tunafaidi vipi?Obviously swala la ajira nd'o namba moja through the hotel industry na mambo ya hunting.Kisha kuna wale wauza curios and stuff like that ambao wanafaidi by their own right.Kwa hivyo utalii ni muhimu sana upande wa ajira.Kumbuka kua hata kama wamelipa hela za tour package huko kwao, lazima wataspendi tu wakishakanyaga bongo.

Kutokana na experience zangu katika hii biashara, I dont mind wazungu na kampuni zao za tourism...mtu wa kua careful naye ni muhindi!!! Samahani lakini that is the bare knuckled truth.You cant trust them for isshhh...nd'o maana wabongo ngozi ngumu kama mimi na wewe inatubidi tuwe mstari wa mbele katika kuharvest the gains of tourism.
Asanteni.
 
Wakuu,

nimekubali na michango yenu.Hii post nilikua natamani sana ijadiliwe ndo maana nilianzisha nyengine kule sekshen ya
incredibles....http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=11406

Swala la makampuni ya wazungu kuchukua watalii kwa mkupuo ni la kawaida hata Kenya ni hivyo.Serikali inapata hela yake kwa kuwadai kodi hawa watalii pindi wanapotia timu nchini.Kisha pia yale makampuni ya tourism, pay taxes to the government in relation to the busineses volume.

Swali sasa ni je sisi kina yakhe tunafaidi vipi?Obviously swala la ajira nd'o namba moja through the hotel industry na mambo ya hunting.Kisha kuna wale wauza curios and stuff like that ambao wanafaidi by their own right.Kwa hivyo utalii ni muhimu sana upande wa ajira.Kumbuka kua hata kama wamelipa hela za tour package huko kwao, lazima wataspendi tu wakishakanyaga bongo.

Kutokana na experience zangu katika hii biashara, I dont mind wazungu na kampuni zao za tourism...mtu wa kua careful naye ni muhindi!!! Samahani lakini that is the bare knuckled truth.You cant trust them for isshhh...nd'o maana wabongo ngozi ngumu kama mimi na wewe inatubidi tuwe mstari wa mbele katika kuharvest the gains of tourism.
Asanteni.


Kuna kesi ziko Mahakaman Arusha na Moshi kwa porters kushindwa kulipwa na waajiri wao yaani hawa wazungu wana operate toka overseas na wako huko huko .Kama ni kweli they pay na madai ya walalahoi ni ya uongo kwa nini kuna kesi za dhuluma na jamaa wanakimbia na pesa ?Maana hawako Tanzania wanaishia na kila kitu unabaki unadai jina la Kampuni iliyoko US ama Ulaya .
 
Watu hawana ubaya na Mwenguo wala Macha. Suala kubwa ni delivery.

Hawa mabwana wapo Bodi ya Utalii miaka na miaka. Kama mpaka Kilimanjaro au Serengeti inatangazwa au kuaminishwa kuwa zipo Kenya, hawa mabwana wanafanya nini pale. Kuna kipindi hawa mabwana walipigiwa kelele bungeni kuwa ni wakati mwafaka wa ku-istrengthen TTB. Suala hili liliisha kimya kimya.

Nionavyo ni wakati muafaka wa ku-appoint watu wenye vision, strategies etc. zinazoendana na wakati.

Sio wivu. Ni kuitakia TZ mema
 
Watu hawana ubaya na Mwenguo wala Macha. Suala kubwa ni delivery.

Hawa mabwana wapo Bodi ya Utalii miaka na miaka. Kama mpaka Kilimanjaro au Serengeti inatangazwa au kuaminishwa kuwa zipo Kenya, hawa mabwana wanafanya nini pale. Kuna kipindi hawa mabwana walipigiwa kelele bungeni kuwa ni wakati mwafaka wa ku-istrengthen TTB. Suala hili liliisha kimya kimya.

Nionavyo ni wakati muafaka wa ku-appoint watu wenye vision, strategies etc. zinazoendana na wakati.

Sio wivu. Ni kuitakia TZ mema

Mwenguo na Macha wana makampuni yao na wanatoa business kadi zao wakiwa kwenye official trips , wanatoa flyers na kuwatumia watu wao kwa pesa za TTB kuingia katika misafara na kupata watalii kwa gharama za mlallahoi leo mnasema kuna wivu ? Wivu upi ?
 
Mwenguo na Macha wana makampuni yao na wanatoa business kadi zao wakiwa kwenye official trips , wanatoa flyers na kuwatumia watu wao kwa pesa za TTB kuingia katika misafara na kupata watalii kwa gharama za mlallahoi leo mnasema kuna wivu ? Wivu upi ?

Frankly I can see why people do not want these people to even own private companies.

Kwa sababu wakisha own inakuwa vigumu kutenganisha the personal from the official.

Wenzetu wanaweza kwa sababu kuna sheria kali na ukigundulika unaenda na maji.Huku kwetu watu hawana integrity, sheria hamna, zile chache zilizopo hazifuatiliwi, and the worst that can happen ni kuandikwa JF na kwenye magazeti, ambapo zitakuja back and forth war of words kuhusu lack of integrity and corrupt tendencies on the one hand and "wivu" on the other.

I am more inclined towards lack of integrity though.This makes it bad for all the honest executives who want to establish their private businesses with integrity (are there any left out there?)
 
Frankly I can see why people do not want these people to even own private companies.

Kwa sababu wakisha own inakuwa vigumu kutenganisha the personal from the official.

Wenzetu wanaweza kwa sababu kuna sheria kali na ukigundulika unaenda na maji.Huku kwetu watu hawana integrity, sheria hamna, zile chache zilizopo hazifuatiliwi, and the worst that can happen ni kuandikwa JF na kwenye magazeti, ambapo zitakuja back and forth war of words kuhusu lack of integrity and corrupt tendencies on the one hand and "wivu" on the other.

I am more inclined towards lack of integrity though.This makes it bad for all the honest executives who want to establish their private businesses with integrity (are there any left out there?)


You are arriving a little bit late kwenye point maana this was obvious from the beginning na Lunyungu all he did was to create awareness na na zaidi ya hapo .
 
I am not arriving at anything.

My skepticism then and now is that not enough of a case has been built at this point.

For all we know it could very well be Mwenguo's business competitors engaging in business espionage and guerrilla warfare.

How can you rule that out?
 
Msiwe na wasi wasi . Nina tafuta some evidence niweke hapa.Niko Moshi as I write here I cannot find a scanner kuwaonyesha mambo kwa uchache wake .God will I will make a come back .Nasisitiza sina wivu hata mara moja na mtu yeyote ila haya ambayo kwangu nayaona kama ni kero.
 
Msiwe na wasi wasi . Nina tafuta some evidence niweke hapa.Niko Moshi as I write here I cannot find a scanner kuwaonyesha mambo kwa uchache wake .God will I will make a come back .Nasisitiza sina wivu hata mara moja na mtu yeyote ila haya ambayo kwangu nayaona kama ni kero.

There is no comeback to make, at least for me, you are on the right track.

I would just like to see JF emerge further from being a talkshop to being more ofa TMZ.com , where you can get documents and stuff that can stand in a court of law.

Then we can really get on these peoples back and have something for all those people who talk of wivu.
 
Mfumo mzima wa serikali kusimamia na kufanya biashara hauleti maana... Akina MWenguo (RIP) walifanya yaliyofanywa na waliotangulia tu

Tanzania government should stop its entities from doing any kind of business na kuendelea kuzisimamia

TTB ilitakiwa itunge sera na miongozo, isimamie sekta ya utalii na kuachia mapromosheni etc kwa wadau, wao wangekomaa na usimamizi wa matangazo na yanayohusiana kwa manufaa ya taifa
 
RIP Mwenguo. Naona hii ilikuwa 6 years ago. Ila kwa ujumla watanzania tunatakiwa tupambane. Wazungu wanatuzidi mitaji na pia ni rahisi kupata wageni kutoka huko kwao. Ila tumo na tutaendelea kuwemo.
 
Back
Top Bottom