Lakini Shamhuna, ambaye pia ni Waziri wa Habari wa Serikali ya Mapinduzi (SMZ), alisema Zanzibar haihitaji Serikali ya Mseto wala Serikali ya Umoja wa Kitaifa, bali kinachotakiwa ni kujenga utamaduni wa kukubali matokeo ya uchaguzi ya kushinda na kushindwa.
Shamhuna kamaliza kazi. Hivi Seif kwanini ameogopa uchaguzi mapema hivyo?? Nadhani alijua tiyari kisha shindwa wacha aombe vyeo vya bure.