Mungi2304
Member
- Jan 21, 2019
- 31
- 9
Wakuu habari!
Hapo juzi tar 22/12/19 nilinunua mzigo ebay, lakini baadaye tukashindwana na seller gharama za usafirishaji kwa dhl, Nika request kucancel order.
Bila shida seller alicancel order na kunitumia email ya kunirefund na wanasema inaweza chukua mda pesa kuingia kwenye account yangu.
Nilitumia nmb mastercard kwa kufanya malipo.
Wadau kuna yeyote alishawahi kuwa refunded kutoka ebay kwenye nmb account?
Kama ndiyo alitumia njia gani? Au waliingiza kwenye account ya benki automatically.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo juzi tar 22/12/19 nilinunua mzigo ebay, lakini baadaye tukashindwana na seller gharama za usafirishaji kwa dhl, Nika request kucancel order.
Bila shida seller alicancel order na kunitumia email ya kunirefund na wanasema inaweza chukua mda pesa kuingia kwenye account yangu.
Nilitumia nmb mastercard kwa kufanya malipo.
Wadau kuna yeyote alishawahi kuwa refunded kutoka ebay kwenye nmb account?
Kama ndiyo alitumia njia gani? Au waliingiza kwenye account ya benki automatically.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app