Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Tangu nifike hapa Nairobi sasa yapata 1 wik na ushee hivi !
Weather ni always cold.
Ni weather ipelekeayo fulltym mtu upate hamu ya kupeanwa! (incase uwe si mwanamume shabbabbi ndy labda utaepukwa na hisia).
Wa kuweza kunipea sikujanae huku.
Kama vile haitoshi ninalalapo room yng inapakana na ya mwenyeji wangu (sio hotel)
Leo ni siku ya 3 mfululizo chumba jirani ikifika sa4 hadi kunako sa7-8 wanachapana isivyo kawaida .
Utaniuliza ninajuaje ?
Ni kupitia sauti zao za mihemo na maneno ya kupeana kwao mizuka ya mihemko ya hamasisho za game.
Wadau wamenifanya mie mgeni wao nihesabu boriti.
Wadau wangu mliowahikutwa na kadhia za kihivi nini cha kunisaidia?
Naomba kutoa hoja!
Weather ni always cold.
Ni weather ipelekeayo fulltym mtu upate hamu ya kupeanwa! (incase uwe si mwanamume shabbabbi ndy labda utaepukwa na hisia).
Wa kuweza kunipea sikujanae huku.
Kama vile haitoshi ninalalapo room yng inapakana na ya mwenyeji wangu (sio hotel)
Leo ni siku ya 3 mfululizo chumba jirani ikifika sa4 hadi kunako sa7-8 wanachapana isivyo kawaida .
Utaniuliza ninajuaje ?
Ni kupitia sauti zao za mihemo na maneno ya kupeana kwao mizuka ya mihemko ya hamasisho za game.
Wadau wamenifanya mie mgeni wao nihesabu boriti.
Wadau wangu mliowahikutwa na kadhia za kihivi nini cha kunisaidia?
Naomba kutoa hoja!